Nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya yanga fc??

Konaball

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
2,949
1,940
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
 
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Hao uliowataja hapo wamechukua form za kugombea?au wamekwambia wanataka kugombea?
 
Hao uliowaweka ulitumia vigezo gani?Je wameshachukua form au kutangazwa kihalali na kamati ya uchaguzi kama wagombea? Acha zengwe wewe!
Ni Muhidini Ahmad Ndolanga badala ya Rashidi.
Wote hawafai isipokuwa mimi ambaye nitajitokeza rasmi kugombea na kutoa sera zangu kwani simba hatuwawezi siku hizi.Nitakachofanya nikiingia Yanga ni kuhakikisha tunaanza kuwafunga simba ambao wanatufunga sana siku hizi.
 
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete
Sidhani kama kuna mtu hapo anafikiria kugombea uongozi Yanga ,wote wanawazia Ubunge
 
Hao uliowaweka ulitumia vigezo gani?Je wameshachukua form au kutangazwa kihalali na kamati ya uchaguzi kama wagombea? Acha zengwe wewe!
Ni Muhidini Ahmad Ndolanga badala ya Rashidi.
Wote hawafai isipokuwa mimi ambaye nitajitokeza rasmi kugombea na kutoa sera zangu kwani simba hatuwawezi siku hizi.Nitakachofanya nikiingia Yanga ni kuhakikisha tunaanza kuwafunga simba ambao wanatufunga sana siku hizi.
Sera zako zimepitwa na wakati wewe badala ya kusema utasaidia nini YANGA kuwa timu yenye kujitegemea na kuwa timu tishio katika AFRICA unawaza kuifunga SIMBA!!!
 
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete


Mchagueni Manji
 
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally Hassan Mwanakatwe
3-Muhidini Rashid Ndolanga
4-Abdul Sauko
5-Ridhwani Jakaya Kikwete

Lipumba
 
Back
Top Bottom