Maria Nyamhanga
Senior Member
- Jun 14, 2011
- 130
- 25
We ni rz 1 inaonekana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi yamezungumzwa...ila pole kwa kwa majib unayoyapata ilhali wataka kujua ukweli. Mahakani kule watoto walilishwa sumu watoa ushuhuda kwamba walibakwa. Genge za mitaani zinadai Dem wa muheshimiwa alizimika kwa Babu Seya(Hope walikutana manight club huko), Licha ya BS kuambiwa hiyo ni ngoma ya mzee, jamaa aliendelea kula mzigo na kujigamba kwamba kapendwa......
Wengine walienda mbali zaidi wakasema eti alimchukua naniliiii...........mi sijui bhana.
Kikubwa kinachoniuma ni yule mama halafu mumewe kapelekwa kuleeeee kuwa Muhasibu...aiseee....hata wanajeshi wastaafu wanachukia sana hii saga. By Janga Kuu
Hili ni fumbo la imani.ukweli utajulikana siku moja tuu.
Mkuu nazipenda kucha zangu na macho yangu...visije vikang'olewa vyote itakuwa nouma sana!! Kwa ufupi tu alipelekwa ughaibuni-nchi za mashariki ya mbali
jamani babu seya alionewa sana,tangu nijiunge humu jf nimebaini kuna mamburura mengi yako ccm huwa yanaharibu thread za muhimu,mtu mwenye akili timamu anatoa wapi ujasiri wa kulawiti watoto yeye na wanae wote wawili? asiwepo hata mmoja wa kusema hapana,ina maana wote ni mataahira? baba na watoto wako ulawiti,wote wafanye ujinga huo,inaingiaje akilini? kama ingekuwa babu seya peke yake,we would have said, probably he did it,kesi huwa zinasukwa,kuanzia mwendesha mashtaka,hadi jaji,kwa nini vyombo vya habari vizuiwe kuripoti mwenendo wa kesi?sote tunajua zombe aliua,lakini mbona yuko huru? kapuya alibaka,nani wa kumgusa na yeye ndo serikali? ni wajinga tu ndo wanaamini babu seya alibebana na wanawe kubaka,iko siku tutasema yote humu jf,mi siogopi kung'olewa meno,na kucha,hata kutuua watumalize tu wote,one day the truth will be exposed publicly.