hapa so jukwaa la kutetea wabakaji nadhani jaji Mihayo wakati wa appeal aliongea kila kitu
wakaenda court of appeal the same
wakaomba mapitio bado yaleyale
ebu tusijaribu kupotosha uhalisia wa tendo hili chafu kwa hoja nyepesi na za kipuuzi
Mkuki kwa Nguluwe mtamu ila kwa binadamu mchungu,na ukimwona mwenzio ananyolewa wewe tia maji
P/se tuacheni siku za giza zipite za nuru zinakaribia.