B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Nani anayeelewa sakata zima la Babu Seya? je ni kweli kuwa baba na watoto wanaweza kuwa na nia moja ya kutenda jambo moja kwa wakati mmoja?
wakati wa kampeni za urais, mgombea wa Urais wa CCM kikwete aliahidi kuwa akishinda kiti hicho atamsamehe, alisema hayo jijini Dar es salaam hadi sasa bado, labda anasubiria muda mwafaka!
lakini kumekuwa na maneno ya chini chini kuwa sakata la Babu seya ni ulipizaji kisasi uliofanywa na bwana mkubwa je ni kweli?
kama ni kweli, juzi wakati wa sherehe za uhuru Rais aligusia kuhusu suala la kulipiza visasi na akawaonya watu dhidi ya tabia hii je yeye vipi?
wakati wa kampeni za urais, mgombea wa Urais wa CCM kikwete aliahidi kuwa akishinda kiti hicho atamsamehe, alisema hayo jijini Dar es salaam hadi sasa bado, labda anasubiria muda mwafaka!
lakini kumekuwa na maneno ya chini chini kuwa sakata la Babu seya ni ulipizaji kisasi uliofanywa na bwana mkubwa je ni kweli?
kama ni kweli, juzi wakati wa sherehe za uhuru Rais aligusia kuhusu suala la kulipiza visasi na akawaonya watu dhidi ya tabia hii je yeye vipi?