wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Duu tumeyanywa sana sh 50 pakiti unaweza usimalize
Mimi nilikuwa kijijini ndo kwanza niko la kwanza
Mimi nilikuwa kijijini ndo kwanza niko la kwanza
Bakhresa alikuwa nayo pia, yaliitwa uhai! Yalikatazwa nahisi ila sina uhakika 2004, maarufu sana kwa jina la kandoroSio kakhesa ni mohamed
Ninayatamani sana ila ishanipita hiyoDuu tumeyanywa sana sh 50 pakiti unaweza usimalize
Enzi hizo kandoro bado sanaMaarufu kama maji ya kandoro