Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Kama kuna mtu amewahi kuwaza kwenda kufafuta riziki nje ya nchi au amekwisha kwenda nje ya nchi hebu tupatie utofauti uliopo huko na huku kwenye hii nchi yetu.
Na kama unawaza kwenda nje ya nchi kufafuta riziki hebu pia tujuane mapema.
Natanguliza shukrani.
Na kama unawaza kwenda nje ya nchi kufafuta riziki hebu pia tujuane mapema.
Natanguliza shukrani.