Nani anawaza au amewahi kuwaza?

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
May 11, 2015
23,373
54,755
Kama kuna mtu amewahi kuwaza kwenda kufafuta riziki nje ya nchi au amekwisha kwenda nje ya nchi hebu tupatie utofauti uliopo huko na huku kwenye hii nchi yetu.

Na kama unawaza kwenda nje ya nchi kufafuta riziki hebu pia tujuane mapema.

Natanguliza shukrani.
 
Kuna waliokwenda south Africa ngoja waje watuambie hali halisi Labda na Mimi ntaweza kujaribu kwenda kutafuta riziki huko majuu
 
Back
Top Bottom