Naomba sote,tuwachambue kwa uwazi bila ushabiki;wale wote tunatarajia watakuwa ni wagombea urais kupitia vyama vyao kama kweli wanastahili kuwa rais kipindi kijacho.Wana JF, tunaweza kabisa kupitia jamvi hili, kuwasaidia watanzania wenzetu kumpata Rais anastahili kuwaongoza watu kwenye mabonde na milima iliyojaa maziwa na asali.Tuanze majina kama Lipumba,Ndugai,Slaa,Lowasa,na wengine wengi.
another Joyce Banda. HatumtakiAsha rose Migiro -2015 zamu ya wanawake
usimlinganishe Joyce banda na Asha Rose Migiro, JB ni maji marefu. Saizi ya ARM ni bibi kiroboto au yule kiazi mwenzake getrude mongela.another Joyce Banda. Hatumtaki