ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Jamani mwenzenu naugua kabisa siku ikipita bila kula hata karanga moja kwani ugonjwa unazidi nakuwa kama teja kwa karanga hasa zile mbichi ni noma kabisa, nakosa usingizi nikiizikosa karanga kwani zinaleta mshawasha ,bashasha na hamasa katika kazi zangu ninazofanya za computer kwani niikifanya kazi bila pembeni kuwa na karanga yani siku hiyo huwa mbaya jamani nisaidieni jamani kwani kuna mtu kama mm anayezimikia karanga mbichi kiukweli kweli basi wanajf nijibuni hapa
RAHA YA KARANGA USILE PEKE YAKO MSHIRIKISHE NA RAFIKIYO NAYE UTAONA UTAMU WAKE WE ACHA TU
RAHA YA KARANGA USILE PEKE YAKO MSHIRIKISHE NA RAFIKIYO NAYE UTAONA UTAMU WAKE WE ACHA TU