Uchaguzi 2020 Nani anapaswa kumrithi Rais Magufuli?

Nyerere/kristo alibana
Mwinyi/muslim aliachia
Mkapa/kristo alibana, then aliachia kiasi chake
Kikwete/muslim aliachia
Magu/kristo amebana.

Hapo ndio utajuwa wakina nani wana imani zaidi. Ni hayo tu mkuu.
Nawapongeza kwa kubana
Hyo ndio Safi
Sio unaachia tu wachache wenye nguvu wale mema ya nchi
Mafisadi Wala rushwa wezii no
Hao walioachia siamini Kama Imani yao inaruhusu haya
 
2015: Tunataka Rais mchapakazi na mkali hata akiwa mwizi poa tuuu.


2020: Tunataka Rais ambaye sio mwizi hata akiwa sio mchapakazi poa tuu.

2025: Tunataka katiba ambayo itaondoa cheo cha Rais.
Haya mawazo ya choo cha kike.
 
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.

Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.

Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.

Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Swali hili jibu lake simple tu...HAKUNA
 
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.

Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.

Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.

Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
LISU nimkweli na anahuruma nawatu hanatamaa anaichukia dhuluma
 
Tanzania tunaijua na Watanzania Tunawajua.

Urais tunaujua na sifa za kugombea Urais tunazijua.

Rais Bora tunamjua na sifa za Rais Bora tunazijua.

Je, kwa Aina ya utawala tulionao na kwa nia ya kuyaendeleza Yale mazuri yaliyotendwa na Rais tuliyenaye, Nani anapaswa kumrithi 2020 au 2025?
Tundu A Lissu
 
Anafaa kumrithi baba jesca ni huyu hapa
IMG_20200911_143443.jpeg
IMG_20200906_212246.jpeg
 
Back
Top Bottom