Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idea nzuri sana hii.. Nimeipenda hiyoSasa hivi technology imekuwa sana. Me ningeshauri tu ndugu zetu mliosoma masuala ya software developers mngetusaidia kudevelop app ambayo ipo kama kupatana ila yenyewe mmiliki wa nyumba au chumba anakuwa anapost tangazo lake kuhusu nyumba au chumba anachopangisha. Then mtu akiliona Tangazo lako mnamalizana.
Binafsi huwa naona ni upoyoyo unaenda kuulizia vyumba kwa mwenye nyumba anakuambia eti hakufahamu mpaka uje na dalali. Dalali yupo kwa ajili ya pesa na siyo kila mtu anamfahamu.