Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
nani ana control biashara ya nyumba tanzania?? Ni kila mtu na uamuzi wake??
ni aibu tupu ukiangalia bei za nyumba za tanzania! Bei kubwa kuliko hata nyumba za ulaya! Bei kubwa hakuna barabara ya kueleweka? Umeme? Maji?
yaani sasa tanzania kila mtu anataka kuwa bilionea, nyumba mbovu bei balaa? Halafu mshahara wa mtanzania ni sh500,000 nani ataweza au wanauziana wao kwa wao mabepari????? Au internet ndiyo imeharibu mambo? Watu wanaangalia bei za nyumba za ulaya halafu na wao wanajiwekea??
serikali itaingilia lini kurekebisha hili tatizo? Thamani ya nyumba inabidi iendane na mazingira ya eneo ilipo! Sio mtu anajitungia tu bei yake halafu hata serikali haifaidiki chochote!! Tuache kuiga watanzania thamani ya nyumba na viwanja vyetu bado havijafikia vile vya ulaya hata kidogo!
tutengeneze barabara, tule umeme na maji, tupime viwanja kwa kutumia surveyors then tuongeze bei! Sio tunakurupukia tu fedha wakati hali ovyo! Watu ambao wananunua hizo nyumba kwa bei hiyo kali wana hatari kubwa kwa collapsing ya market kama ilivyotokea usa na australia sababu ukweli wenye uwezo wa kulipa kiasi hicho cha pesa ni kama 9% ya population yote!
later in future wakati wanataka kuuza nobody will buy those properties for the price they are asking! Its a very risk business
ni aibu tupu ukiangalia bei za nyumba za tanzania! Bei kubwa kuliko hata nyumba za ulaya! Bei kubwa hakuna barabara ya kueleweka? Umeme? Maji?
yaani sasa tanzania kila mtu anataka kuwa bilionea, nyumba mbovu bei balaa? Halafu mshahara wa mtanzania ni sh500,000 nani ataweza au wanauziana wao kwa wao mabepari????? Au internet ndiyo imeharibu mambo? Watu wanaangalia bei za nyumba za ulaya halafu na wao wanajiwekea??
serikali itaingilia lini kurekebisha hili tatizo? Thamani ya nyumba inabidi iendane na mazingira ya eneo ilipo! Sio mtu anajitungia tu bei yake halafu hata serikali haifaidiki chochote!! Tuache kuiga watanzania thamani ya nyumba na viwanja vyetu bado havijafikia vile vya ulaya hata kidogo!
tutengeneze barabara, tule umeme na maji, tupime viwanja kwa kutumia surveyors then tuongeze bei! Sio tunakurupukia tu fedha wakati hali ovyo! Watu ambao wananunua hizo nyumba kwa bei hiyo kali wana hatari kubwa kwa collapsing ya market kama ilivyotokea usa na australia sababu ukweli wenye uwezo wa kulipa kiasi hicho cha pesa ni kama 9% ya population yote!
later in future wakati wanataka kuuza nobody will buy those properties for the price they are asking! Its a very risk business
Last edited: