mchanga mchanga
Senior Member
- Jun 13, 2017
- 115
- 82
Nianze kwa kuwasalimia wakubwa na wadogo kwa salamu ya Mambo vipiiii?
Kwa muda mrefu nimekua najiuliza bendera yetu iliyopo kwenye kilele cha mlima Kilimanjoro (kilimanjaro peak) ni nani hupandisha kila saa kumi na mbili za asubuhi na ni nani huishusha saa kumi na mbili jioni.
Kwa muda mrefu nimekua najiuliza bendera yetu iliyopo kwenye kilele cha mlima Kilimanjoro (kilimanjaro peak) ni nani hupandisha kila saa kumi na mbili za asubuhi na ni nani huishusha saa kumi na mbili jioni.