Dogo GSM
Member
- Jul 31, 2021
- 65
- 91
Naimani mko buheri marafiki,
Naomba mwenye kuweza kuweka CV au taarifa za kina zitazofanya sisi wengine wa ukanda wa Afrika mashariki huku tumjue huyu bwana.Jamaa namfahamu kama msanii mwenye pesa ndefu sana na anaekubalika sanaa huko GUINEA sababu huwa naona huko u-tube anavyotrend kwa views nyingi na anavyoshobokewa na masister wa huko pia anaheshimika sana kwa ujumla wake.
Nimejaribu kufuatilia nyimbo zake huko u tube kiukweli sijaona anachovutia kabisa huyu bwana kuanzia sauti yake.Hata kucheza kwake jamaa anaenda vice versa na beat.ila vibe analopata si la Afrika.
Mwenye kumjua zaidi kwa kilicho chini ya uvungu kuhusu mafanikio ya huyu bwana aweke hapa sbb mi sjaona Cha maana.
Naomba mwenye kuweza kuweka CV au taarifa za kina zitazofanya sisi wengine wa ukanda wa Afrika mashariki huku tumjue huyu bwana.Jamaa namfahamu kama msanii mwenye pesa ndefu sana na anaekubalika sanaa huko GUINEA sababu huwa naona huko u-tube anavyotrend kwa views nyingi na anavyoshobokewa na masister wa huko pia anaheshimika sana kwa ujumla wake.
Nimejaribu kufuatilia nyimbo zake huko u tube kiukweli sijaona anachovutia kabisa huyu bwana kuanzia sauti yake.Hata kucheza kwake jamaa anaenda vice versa na beat.ila vibe analopata si la Afrika.
Mwenye kumjua zaidi kwa kilicho chini ya uvungu kuhusu mafanikio ya huyu bwana aweke hapa sbb mi sjaona Cha maana.