palsa
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 1,326
- 1,680
Nilipelekwaga boarding Chekechea, katika vitu ambavyo sitakaa nivisahau ni hichi na sitakaa kumpeleka mwanangu boarding akiwa mdogo.Kwa mzazi mwenye utimamu hawezi mpeleka mtoto mdogo hivyo boarding halafu wakirudi huko mashostito mmanza kwenda kanyaga mafuta ya upako kingine huwezi mjua kindakindaki mwanao na ukubwani ndio hao wanakuja kuishi kama wazungu yale mapenzi ya dhazi kwa wazazi yanakuwa yamebakia asilimia 40 amini hivyo