Naomba msaada kwa wanaoelewa ili naomba tupeane ufafanuzi juu ya hili..nimeangalia pale sio chini ya mil50 imetumika..
Sasa ni serikali inatoa pesa au wahisani?
My dad is coming shauri zako.We uliza tu utapata ukitakacho wacha was enjoy Kila kitu na zama zake.Wapikuwepo wanaotisha,wababe ila Mungu katuweza wote futi sita chini zinatusubiri.Mwacheni Mungu aitwe Mungu soon tutaona matokeo .Ee Mungu tunashukuru kwa Kila Jambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.