mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,568
Kwa hiyo unachukua hatua gani?Huwezi kupokea majizi ,kama siyo jizi na wewe.
Chadema ni majizi
Kwa hiyo unachukua hatua gani?Huwezi kupokea majizi ,kama siyo jizi na wewe.
Chadema ni majizi
Kwa nini hawaitumii hiyo nguvu ya dola dhidi ya mafisadi kama wanavyoitumia kuzuia mikutano ya hao hao wapinzani wenye kuwapokea "mafisadi"?Waliotufikisha hapa na madudu yote ni CCM!! na ndio wenye vyombo vya dola vya kumwajibisha mtu yeyote
Cairo's
Ile List ilikuwa na watu wangapi na ni wangapi wapo CHADEMA? Hivi wale waliotiwa hatiani na mahakama na bado wana CCM inakuwaje? Ufisadi wao hauhesabiwi?kwa ile list ya mwembe yanga hakika pepo yao ni chadema
Teh!Nionavyo mimi CCM ni mtambo wa kufyatua Mafsadi. Wanazaliwa huko, wanakulia huko na kuota huko. wawako huko huwa salama na huendeleaa kuzaliana na kuzaliana.
Itokeapo wkawa wameisha tamalaki na Ufisadi wao na wao kama binadamu huhitaji mazingira yasiyolea na kutunza ufisadi hivyo hutafuta pakwenda na kutengeneza toba ya kuokoka dhambi zao za ufisadi nako si pengine bali ni CHADEMA.
Teh!Nionavyo mimi CCM ni mtambo wa kufyatua Mafsadi. Wanazaliwa huko, wanakulia huko na kuota huko. wawako huko huwa salama na huendeleaa kuzaliana na kuzaliana.
Itokeapo wkawa wameisha tamalaki na Ufisadi wao na wao kama binadamu huhitaji mazingira yasiyolea na kutunza ufisadi hivyo hutafuta pakwenda na kutengeneza toba ya kuokoka dhambi zao za ufisadi nako si pengine bali ni CHADEMA.
Hakuna kitu zaidi ya UNAFKI wa kiswahiliKwa nini hawaitumii hiyo nguvu ya dola dhidi ya mafisadi kama wanavyoitumia kuzuia mikutano ya hao hao wapinzani wenye kuwapokea "mafisadi"?
WOTE NI WANAFIKI KUANZIA WANAOSHINDWA KIWACHUKULIA HATUA WEZI HALI YA KUWA WANA DOLA NA UWEZO WA KUWASHUGHULIKIA NA WALE WALIOKUWA WAKITUAMBIA FULANI NI MWIZI NA HAFAI KIWA KIONGOZI NA BAADA YA MIDA WANASEMASIO MWIZI NA MWENYE USHAHIDI APELEKE MAHAKAMANIHakuna kitu zaidi ya UNAFKI wa kiswahili
Cairo's
Ile List ilikuwa na watu wangapi na ni wangapi wapo CHADEMA? Hivi wale waliotiwa hatiani na mahakama na bado wana CCM inakuwaje? Ufisadi wao hauhesabiwi?
Tunaomba ile list irudishwe kwenye ile website ili tuwahesabu vizuri!Ile List ilikuwa na watu wangapi na ni wangapi wapo CHADEMA? Hivi wale waliotiwa hatiani na mahakama na bado wana CCM inakuwaje? Ufisadi wao hauhesabiwi?