Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,047
Hodi Humu ndani!!!!
Nawasalimu!!!!!!
Leo nimekaa zangu tu, nawaza UPUPUUUU! Hahahaaaaaa! Eti jamani watumia jamvi, nani wa jinsia nyingine anayekuvutia zaidi humu JF kwa mada, fikra, uchangiaji, style, chochote kile au vyote kwa ujumla? Hata KIMAPENZI kama yupo au kizombiiii LOLEST!
Sababu mimi ndo nimeanzisha hii mada ya kiuchochezi ngoja nianze kufunguka na kutiririka mwenyewe kwanza!!!.
Wanasema ukichagua NYAMA chagua ILIYONONA!!! LOL! My number 1 kivutio ni yule yule M wake M. (When the cats washes its hands it can eat with the KINGS!!! LOLEST!!!) Nimeshatangaza NIA, Majimbo yako mengi haina haja ya KUBANANA HAPA HAPA!
Kiuchangiaji Yanasimama majembe mawili 1. Mtambuzi! Dude whatever you write i must read. Hata iwe ndefu vipi! 2. Anasimama RUTASHUBANYUMA (sijui kama ndo spelling za jina lako!) yaani unanisaidiga sana kuwasoma ideology zenu wanaume!!! Zile kitchen party za bure ziendeleee!!! LOLEST!!!!
Kiustaarabu anasimama SNOWBALL, Hata mara moja sijaona umecomment *****! Nakupa 5 kama Dark City aka Babu DC kwa kutuachia UJANA sie wa juzi. LOL! The Boss bwana mda mwengine hueleweki!!! (Haswaa ukitoa comment tata!!)
Fikra bwana kuna fikra za watu huwa hata sizielewi 1.BOFLO (Dude your lost a longtime ago!!! LOLEST!) 2.TIQO sijui hata unawazaga nini kwenye OBLONGATA yako!
P. Didiy unachonivutia sio mvivu kuanzisha thread! Na thread zako si endelevu ila lazima nizisome hata iweje! LOL! Mambo unayoanzisha yanafanana na AVATAR yako!!!
Nyani Ngabu unachonivutia huanzishi thread hataaaa! Ila sio mvivu kucomment, Lazima utie neo japo DONGO na huna style moja, kote unafiti kwa wenye busara na waovu! LOL!
Rutashobolwa unanivutia sana haswaa kwa short and clear answers kama anko Bishanga!
------------------ Unanivutia sana nikugeuze ZOMBIII langu! LOLEST!!!!! ( Sijataja mtu ukijistukia ndo wewe!!!!! UKIMTAJA MWENZIO WEWE NDIE UNAMTAKA!!! LOLEST!!!!)
Wengine nimeshindwa kuelewa jinsia zenu @ kongosho, Kaizer, platzoom, Badili tabia, andybird 314,NK, NK.
Huo ni mtazomo wangu mie KUBWA LA MAADUI aka LARA MOJA, LARA THE ONE, LARA 0 BRAIN. (HAHAHAHAAAAA) JE NYIE NANI WA JINSIA NYINGINE ANAWAVUTIA???????????????
Kwa kweli kwangu mimi wala siyo siri tena, navutiwa sana na dada farkhina, dua langu kila kukicha ni kukutana naye na nimkumbatie huku nikimwambia bibie nakuzimia na nakupenda ile mbaya na roho yangu itapona. Mwanamme gani asiyependa kula kalmati, biryani, pilau, na vyakula vingine vitamu? Ee Mungu baba, naomba unikutanishe na dada farkhina kwani nina maneno mazito naye yanayonisibu moyoni na ndotoni.