..nimeamini zawadi ya kudumu ni kubarikiwa Wowowo tu!I really missing
I will always loving
Story ni hadithi mkuu. Hii ni hadithi tu.Mmeona jibu la huyo mtu Hapo juu,
Hiyo story ilivuma.sana kutokusikia kwako isiwe sababu ya tukio kutotokea.
Asanteni
Jamani mbona huruma.Tukio baya ambalo linakumbukwa na kusemwa Arusha ni tukio la Wamishonari kukatwakatwa kwa panga na kuzikwa kaburi moja, eneo la Akeri Tengeru.
Haya super huz material.Aisee super darling siikumbuki hii issue kabisa.
M
Muulize
Na kukauka kabisaNatamani na waliomshambulia Lisu wagandiane kabisa
Kasema hajawahi kusikia uongo kama huo
SawaHadithi hii nani niliisikia miaka ya 1990 tisini ILS ilielezwa kwamba ni Mmasai aliyekuwa ametoka mnadani akielekea nyumbani ila kea vile alikuwa na pesa nyingi aliomba hifadhi kwa Mchungaji ambaye baada ya kugundua mmasai na fedha alimuua usiku ile na kuzichukua japo mkewe hakutaka.Ilielezwa kwa vile alikuwa Jmosi kuamkia Jpili Mchungaji alipokuwa akiongoza ibada Giza lilitokea na baada ya Giza kutoweka mchungaji alionekana akiwa amefungwa pingu