Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Nlikua naangakia aljazeera mara waka onyesha ile clip ya bush ambayo alirushiwa viatu toka kwa waandish wa habar. Kikicho nifurahisha ni jinsi jamaa alivyokua fasta kukwepa mpaka nikajiuliza au bush alikua bondia?