JK aliwachimba mkwala wenzake pale bungeni. Alisema yeye pamoja na kuwa ana sura ya tabasamu lakini ni mkali kwenye mambo ya msingi. Mbona hawi mkali na pesa ya walalahoi inayoliwa na serikali anayoiongoza? Ameshindwa hata kuwawajibisha mawaziri ambao bunge limeshafanya kazi kubwa ya kueleza sababu? Nipeni michango yenu kwa kuanzia na ile hotuba yake kwenye nukuu ya "I might be wearing a smiling face, but I am firm on issues"