PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,279
Habarini wanamichezo, aise nikiangalia hiz sajili zinazoendelea kweny hizi timu za watani wa jadi, mimi ni Simba Ila kuna vyuma viwili ndgu zetu wamevitoa AS vita bwana bwana.
Obviously sisi tupo vyema wachezaji safi tunao na tunawasajili, ila utopolo siku hizi nao wanajitahi hvyo hvyo. Iyo mechi ijayo watu watafia uwanjani kwa pressure. TFF waandae ambulance za kutosha na red Cross wakutosha.
Obviously sisi tupo vyema wachezaji safi tunao na tunawasajili, ila utopolo siku hizi nao wanajitahi hvyo hvyo. Iyo mechi ijayo watu watafia uwanjani kwa pressure. TFF waandae ambulance za kutosha na red Cross wakutosha.