Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 889
- 1,515
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa.
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602
Kwenye uchaguzi wa Malawi alishiriki kama mwangalizi chini ya European Union. Yupo very trained kwenye issue hizo za kisasa.
Ni Mzanzibar hapo awali aliwahi kuwa katibu Mkuu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini.
Nani anayemjua zaidi sifa zake kwa maana ya taaluma au mafunzo yoyote aliyonayo. Namuona Kama ana kitu cha ziada ndio maana naomba kujifunza.
Ole Mushi
0712702602