nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
Habari
Kuna filamu moja ya kihindi, televisheni ya Capital tv walikuwa wanapenda sana kuionesha, ni nzuri sana, kwa muda mrefu Nimekuwa nikiitafuta ila sijawahi kufanikiwa kupata jina lake
Muvi yenyewe ni ya kizamani (pengine ilichezwa miaka ya 1960s)
Kwenye muvi, kuna Prince mwenye uchu ambaye ana panga njama za kumuua babake ambaye ni mfalme na anafanikiwa kumfungia kwenye shimo kubwa lililo kwenye kasri lao la kifalme, kisha anauaminisha umma kuwa mfalme amefariki hivyo yeye anatawadhwa kuwa mfalme mpya.
Kwa upande mwengine, Prince ana dada yake ambaye ni Princess,
Princess huyo ni ana roho mbaya na ana dharau raia maskini.
Sasa a natokea steringi wa muvi ambaye ni raia anayeishi maisha ya kawaida na mama yake na rafiki yake ambaye ni wa jinsia ya Kike, rafiki huyo anampenda steringi ila steringi anamchukulia kama mshkaji wake tu au kama dada yake tu.
Basi huyu steringi anatokea kumpenda Princess,
Ila Princess kutokana na kudharau raia maskini hataki kuionesha kuwa kamzimikia jamaa, halafu Princess anajifanya ngangari na katili anakaa balaa ili kufanya steringi aache kufuatilia kwa kudhani kuwa Princess hampendi na kuwa Princess roho yake imeumbiwa kutokupenda
Kwa bahati mbaya steringi haamini kabisa kuwa Princess hampendi na haamini kabisa kuwa Princess ni mgumu hataki mapenzi a naendelea kumuimbia nyimbo mashairi na kumtaka,
Hali hiyo inafanya steringi ajikute akiingia kwenye mkono hatari ya familia ya kifalme
Mwisho wa muvi raia wanagundua ukweli kuwa mfalme hakufa na wanampindua Prince na kumrudisha mfalme wao kwa msaada wa steringi, nae Princess ana kubali kuwa kweli anampenda steringi na kwamba kweli kaka yake, yani Prince ni mtu mbaya.
Yani natafuta hii muvi kwa udi na uvumba, capital tv wameweka hii muvi mara hata mía zina fika kwa bahati mbaya sijawahi pata jina lake, Naombeni MSAADA kwa anyeijua
Kuna filamu moja ya kihindi, televisheni ya Capital tv walikuwa wanapenda sana kuionesha, ni nzuri sana, kwa muda mrefu Nimekuwa nikiitafuta ila sijawahi kufanikiwa kupata jina lake
Muvi yenyewe ni ya kizamani (pengine ilichezwa miaka ya 1960s)
Kwenye muvi, kuna Prince mwenye uchu ambaye ana panga njama za kumuua babake ambaye ni mfalme na anafanikiwa kumfungia kwenye shimo kubwa lililo kwenye kasri lao la kifalme, kisha anauaminisha umma kuwa mfalme amefariki hivyo yeye anatawadhwa kuwa mfalme mpya.
Kwa upande mwengine, Prince ana dada yake ambaye ni Princess,
Princess huyo ni ana roho mbaya na ana dharau raia maskini.
Sasa a natokea steringi wa muvi ambaye ni raia anayeishi maisha ya kawaida na mama yake na rafiki yake ambaye ni wa jinsia ya Kike, rafiki huyo anampenda steringi ila steringi anamchukulia kama mshkaji wake tu au kama dada yake tu.
Basi huyu steringi anatokea kumpenda Princess,
Ila Princess kutokana na kudharau raia maskini hataki kuionesha kuwa kamzimikia jamaa, halafu Princess anajifanya ngangari na katili anakaa balaa ili kufanya steringi aache kufuatilia kwa kudhani kuwa Princess hampendi na kuwa Princess roho yake imeumbiwa kutokupenda
Kwa bahati mbaya steringi haamini kabisa kuwa Princess hampendi na haamini kabisa kuwa Princess ni mgumu hataki mapenzi a naendelea kumuimbia nyimbo mashairi na kumtaka,
Hali hiyo inafanya steringi ajikute akiingia kwenye mkono hatari ya familia ya kifalme
Mwisho wa muvi raia wanagundua ukweli kuwa mfalme hakufa na wanampindua Prince na kumrudisha mfalme wao kwa msaada wa steringi, nae Princess ana kubali kuwa kweli anampenda steringi na kwamba kweli kaka yake, yani Prince ni mtu mbaya.
Yani natafuta hii muvi kwa udi na uvumba, capital tv wameweka hii muvi mara hata mía zina fika kwa bahati mbaya sijawahi pata jina lake, Naombeni MSAADA kwa anyeijua