Spika mzuri ni yule ambaye hatakuwa mwanachama, mfurukutwa, mfuasi, kibaraka wa chama chochote cha siasa...
 
You stole my comment. :)
Kwa mujibu wa Sheria ya Uvuvi Namba 22 ya Mwaka 2003 na Kanuni zake za mwaka 2009 Rula ni moja ya vipimo rasmi vilivyotajwa kisheria kutumika kupimia urefu wa samaki kujua kama amekidhi matakwa ya kisheria ya kuvuliwa. Pia usipotoshe watu kwa kuhoji kwanini alitumia Rula wakati sheria ilimtaka atumie Rula wewe ulitaka atumie kipimo ambacho hakijaelekezwa na Sheria? Na ukumbuke wakati Sheria hiyo inatungwa mwaka 2003 Mpina alikuwa sio Mbunge.
 
UJASIRI wake wa kubainisha kwa uwazi kwa nini anaomba Uspika tofauti na wengine ambao hawajaweza kueleza kinagaubaga ukiacha wachache sana waliojaribu kidogo.

Usimamizi wake wa Kijasiri wa sheria juu ya Uvuvi Namba 22 ya mwaka 2003 katika kupambana na Uvuvi haramu Nchini uliowezesha ongezeko kubwa la samaki na kuwezesha mauzo ya samaki nje ya nchi kupaa kutoka Tsh Bilioni 379 hadi kufikia Tsh Bilioni 692 karibu Bilioni 700 mwaka 2020 fedha ambazo zilikwenda mfuko Mkuu wa Serikali kutekeleza majukumu mbalimbali ya kitaifa.

Mpina hajui kujipendekezapendekeza kwa misingi iliyosimama
lakini pia anaujua umaskini wa watu wa Chini,hivyo basi,Atawabana Mawaziri kufanya kazi kwelikweli, vinginevyo majibu na taarifa za Serikali zisizojitosheleza Bungeni chini ya Spika Mpina hazitapita.

Mpina kwa kuwa amefanya kazi katika Wizara ya Muungano atakuwa pia msikivu kwa upande wa Tanzania Zanzibar hasa ukizingatia nafasi anayoiomba ni ya Muungano.

Pia tunakumbuka kuwa Trillion zetu 360 ambazo aliziibua yeye Bungeni tutamdai hadi zipatikane hata kama ni kumikumi kila mwaka kwani anajua zilipo.

Tulishuhudia akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi kwa namna alivyokuwa amejitahidi kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji na katika kipindi alichoongoza Wizara hiyo hatukuwahi kusikia

Wafugaji, Wavuvi na Wakulima ni sehemu ya Watanzania walio wengi watakuwa wamempata msimamizi wa Muhimili sahihi kwani historia yake na uzoefu wake ameyaishi maisha haya hivyo Mawaziri katika Wizara hizi zote itabidi wafanye kazi zaidi kulifafanulia Bunge juu ya maendeleo na changamoto za ukweli bila blaa blaa.

Uzoefu na mambo makubwa aliyosimamia na kuonekana matokeo dhahiri kabisa yapo kwenye CV yake
acheni kampeni humu ndani na ndo hao hao wanaotusababishia tusiende mbele.
 
Sijui Katiba inasemaje ila Jenerali Ulimwengu anafaa sana sana kwenye nafasi ya Uspika.
 
UJASIRI wake wa kubainisha kwa uwazi kwa nini anaomba Uspika tofauti na wengine ambao hawajaweza kueleza kinagaubaga ukiacha wachache sana waliojaribu kidogo.

Usimamizi wake wa Kijasiri wa sheria juu ya Uvuvi Namba 22 ya mwaka 2003 katika kupambana na Uvuvi haramu Nchini uliowezesha ongezeko kubwa la samaki na kuwezesha mauzo ya samaki nje ya nchi kupaa kutoka Tsh Bilioni 379 hadi kufikia Tsh Bilioni 692 karibu Bilioni 700 mwaka 2020 fedha ambazo zilikwenda mfuko Mkuu wa Serikali kutekeleza majukumu mbalimbali ya kitaifa.

Mpina hajui kujipendekezapendekeza kwa misingi iliyosimama
lakini pia anaujua umaskini wa watu wa Chini,hivyo basi,Atawabana Mawaziri kufanya kazi kwelikweli, vinginevyo majibu na taarifa za Serikali zisizojitosheleza Bungeni chini ya Spika Mpina hazitapita.

Mpina kwa kuwa amefanya kazi katika Wizara ya Muungano atakuwa pia msikivu kwa upande wa Tanzania Zanzibar hasa ukizingatia nafasi anayoiomba ni ya Muungano.

Pia tunakumbuka kuwa Trillion zetu 360 ambazo aliziibua yeye Bungeni tutamdai hadi zipatikane hata kama ni kumikumi kila mwaka kwani anajua zilipo.

Tulishuhudia akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi kwa namna alivyokuwa amejitahidi kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji na katika kipindi alichoongoza Wizara hiyo hatukuwahi kusikia

Wafugaji, Wavuvi na Wakulima ni sehemu ya Watanzania walio wengi watakuwa wamempata msimamizi wa Muhimili sahihi kwani historia yake na uzoefu wake ameyaishi maisha haya hivyo Mawaziri katika Wizara hizi zote itabidi wafanye kazi zaidi kulifafanulia Bunge juu ya maendeleo na changamoto za ukweli bila blaa blaa.

Uzoefu na mambo makubwa aliyosimamia na kuonekana matokeo dhahiri kabisa yapo kwenye CV yake

Arudishe mashamba ya wananchi na wanakijiji aliyojimegea akiwa waziri wa samaki.Ni morogoro huko mtaarifu kabisa
 
Sukuma gang nani ampe usupika, enzi zenu zilishapita, hatutafuti wazuri tunatafuta watiifu wa chama kama ndugai alivo kua kwa mwendazake, wakati kichwa ni emp
Tatizo lako ni uelewa, tukukumbushe tuuu kwamba Sukuma Gang huwezi kupamba nayo na ukashinda, mnavyoitaja sukuma gang mnazidi kuimarisha kambi yake. Mtajuta mbeleni, kwa sasa mnafurahisha nafsi zenu lakin yajayo mtashangaa
 
UJASIRI wake wa kubainisha kwa uwazi kwa nini anaomba Uspika tofauti na wengine ambao hawajaweza kueleza kinagaubaga ukiacha wachache sana waliojaribu kidogo.

Usimamizi wake wa Kijasiri wa sheria juu ya Uvuvi Namba 22 ya mwaka 2003 katika kupambana na Uvuvi haramu Nchini uliowezesha ongezeko kubwa la samaki na kuwezesha mauzo ya samaki nje ya nchi kupaa kutoka Tsh Bilioni 379 hadi kufikia Tsh Bilioni 692 karibu Bilioni 700 mwaka 2020 fedha ambazo zilikwenda mfuko Mkuu wa Serikali kutekeleza majukumu mbalimbali ya kitaifa.

Mpina hajui kujipendekezapendekeza kwa misingi iliyosimama
lakini pia anaujua umaskini wa watu wa Chini,hivyo basi,Atawabana Mawaziri kufanya kazi kwelikweli, vinginevyo majibu na taarifa za Serikali zisizojitosheleza Bungeni chini ya Spika Mpina hazitapita.

Mpina kwa kuwa amefanya kazi katika Wizara ya Muungano atakuwa pia msikivu kwa upande wa Tanzania Zanzibar hasa ukizingatia nafasi anayoiomba ni ya Muungano.

Pia tunakumbuka kuwa Trillion zetu 360 ambazo aliziibua yeye Bungeni tutamdai hadi zipatikane hata kama ni kumikumi kila mwaka kwani anajua zilipo.

Tulishuhudia akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi kwa namna alivyokuwa amejitahidi kumaliza migogoro ya wakulima na wafugaji na katika kipindi alichoongoza Wizara hiyo hatukuwahi kusikia

Wafugaji, Wavuvi na Wakulima ni sehemu ya Watanzania walio wengi watakuwa wamempata msimamizi wa Muhimili sahihi kwani historia yake na uzoefu wake ameyaishi maisha haya hivyo Mawaziri katika Wizara hizi zote itabidi wafanye kazi zaidi kulifafanulia Bunge juu ya maendeleo na changamoto za ukweli bila blaa blaa.

Uzoefu na mambo makubwa aliyosimamia na kuonekana matokeo dhahiri kabisa yapo kwenye CV yake
Na hiyo ndo sababu itakayofanya jina lake kuenguliwa. "Yahee huyo si mwenzetu"
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Uvuvi Namba 22 ya Mwaka 2003 na Kanuni zake za mwaka 2009 Rula ni moja ya vipimo rasmi vilivyotajwa kisheria kutumika kupimia urefu wa samaki kujua kama amekidhi matakwa ya kisheria ya kuvuliwa. Pia usipotoshe watu kwa kuhoji kwanini alitumia Rula wakati sheria ilimtaka atumie Rula wewe ulitaka atumie kipimo ambacho hakijaelekezwa na Sheria? Na ukumbuke wakati Sheria hiyo inatungwa mwaka 2003 Mpina alikuwa sio Mbunge.
... umeelewa jamaa alichomaanisha lakini?
 
haka kajamaaa ni hataree kweli kweli hata jiwe alikuwa anakaogopa na kukaitaa ka 'kichaaa' sasa sijui itakuaje kwa 'kichaa' mpina akiwa lungu la uspika, mhanga wa kwanza atakuwa ni ' serikali'...………...
 
Arudishe mashamba ya wananchi na wanakijiji aliyojimegea akiwa waziri wa samaki.Ni morogoro huko mtaarifu kabisa
TAFAKARI KABLA YA KU-COMENT!

Ni mwananchi gani wa leo anaweza kuporwa Ardhi yake acha utapeli yaani mlalamikaji uwe wewe huku JF badala ya wenye mashamba wenyewe.
 
kwa mjadala unaoendelea sasa hivi itv, i think Prof. Assad tumshawishi achukue form ya kugombea usupika wa bunge
 
Back
Top Bottom