Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
Watapigia kura majina yote 71 lazima wachuje kwanza kamati kuuSi kweli , kuna majina yatapigiwa kura na kamati ya wabunge wa ccm,,
Hivyo kamati kuu wala haiitaji kupasuka vichwa,
Acha propaganda
Watapigia kura majina yote 71 lazima wachuje kwanza kamati kuuSi kweli , kuna majina yatapigiwa kura na kamati ya wabunge wa ccm,,
Hivyo kamati kuu wala haiitaji kupasuka vichwa,
Acha propaganda
Jamaa amenyoka sana yule anamisimamo mikali hawawezi kumpa m2 mwenye misimamo...Yule aliye masele anafaa
Tulia ana ghubu sana na anakosa ukomavu. Chenge ndio best candidate wa hii nafasi. Kuhusu kachfa siyo kigezo, hazijathibitishwa popote, ila akina rizimoko waliokuwa na tuhuma za sembe tuliona wakipewa nafasi za uteuzi.Tulia ndio spika ajaye
1.Anatosha(kwa kigezo cha elimu)
2.Mwenzetu
3.Umri una wastani mzuri
4.Gender equality
5. Hajawahi kutuhumiwa popote
Kwa wakati tofauti nimekuwa nikifuatia Chenge akiendesha mikutano ya bunge, ni mzuri sana kwa kuwa na uvumilivu.Huwezi mlinganisha na akina Tulia na comp. Kuhusu weledi wake,bado ni mzuri sana kwenye Sheria. Pamoja na umri alionao, uwezo wake wa kusoma na kuelewa unazidi kwa mbali vijana wengi. Kama kuna hoja nyingine zitolewe ila siyo kutumia kigezo cha umri na uwezo wa kazi ambavyo siyo halisia katika suala hili.Chenge ni fisadi. Unaiba 1.5 bilion ya serikali kwa mikataba ya hovyo wakati wa ununuzi wa Rada halafu unasema ni vijisenti?
Leo hii akikaa bungeni so ataiba 1 Trilioni , ataitaje hii sasa?
Chenge ametumika kipindi cha nyerere, mwinnyi, mkapa, na jk. Experience yake ni old school kwa sasa.
Taifa hili kwa sasa linahitaji speaker kijana wa umri wa kati na msomi ambaye ataendana na mabadiliko ya dunia/ global changes na kisha ku-relate na hali halisi ya nchi yetu in making decision katika bunge letu.
Huyo mzee na hiyo experience ya miaka 90's imepitwa na wakati. Watanzania tunataka kusonga mbele na kurudishwa nyuma na mauzoefu yaliyopitwa na wakati eti kisa masters ya havard ya mwaka 1975 wakati leo ni 2022 = miaka 48 imeshapita. Hii ni aibuu kubwa.
Chenge apumzike akalee wajukuu wake na vitukuuu
NDIO.Kwa hiyo ulikuwa unaunga mkono katiba ibadilishwe ili shujaa aendelee kusalia madarakani atake asitake??
Aibu kubwa ni darasa la nne wa mwaka 1975 aliweza kuongea kiingereza fasaha..Chenge ni fisadi. Unaiba 1.5 bilion ya serikali kwa mikataba ya hovyo wakati wa ununuzi wa Rada halafu unasema ni vijisenti?
Leo hii akikaa bungeni so ataiba 1 Trilioni , ataitaje hii sasa?
Chenge ametumika kipindi cha nyerere, mwinnyi, mkapa, na jk. Experience yake ni old school kwa sasa.
Taifa hili kwa sasa linahitaji speaker kijana wa umri wa kati na msomi ambaye ataendana na mabadiliko ya dunia/ global changes na kisha ku-relate na hali halisi ya nchi yetu in making decision katika bunge letu.
Huyo mzee na hiyo experience ya miaka 90's imepitwa na wakati. Watanzania tunataka kusonga mbele na kurudishwa nyuma na mauzoefu yaliyopitwa na wakati eti kisa masters ya havard ya mwaka 1975 wakati leo ni 2022 = miaka 48 imeshapita. Hii ni aibuu kubwa.
Chenge apumzike akalee wajukuu wake na vitukuuu
Kamati kuu inateua jina zaidi ya moja, part caucus ndo wanateua jina moja la kwenda bungeniKamati kuu ikishateua, basi huyo ndiye Spika.
Pale bungeni ni utaratibu tu wa kikanuni.
Hakuna mbunge wa kupinga jina lililopelekwa na Kamati kuu.
Hahahaaaa......hahahaaaa.........!Kamati kuu inateua jina zaidi ya moja, part caucus ndo wanateua jina moja la kwenda bungeni
Chenge wako hapati u spikaTulia ana ghubu sana na anakosa ukomavu. Chenge ndio best candidate wa hii nafasi. Kuhusu kachfa siyo kigezo, hazijathibitishwa popote, ila akina rizimoko waliokuwa na tuhuma za sembe tuliona wakipewa nafasi za uteuzi.
Hata Fei toto?Mzanzibar yeyote tu fresh!
Huyo dogo hapana,bado tunahitaji kuona zile bunduki zake ligi kuu!Hata Fei toto?
Wapiga kura wataamua.Chenge wako hapati u spika