Nani anafaa kuwa Rais kutoka vyama vya upinzani?

mzee wa mawe

Senior Member
Aug 2, 2011
151
15
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda
 
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda

Labda nikuulize swali, Wewe Unaangalia nini, au unachagua nini, Chama au Mtu??????????
 
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda

Mama yako
 
watanzania bana,i thought mnasaidiana kutatua matatizo ya mafuta na umeme kumbe
kila mtu anashangilia kivyake?
 
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda
chukua kidumu kapange foleni ya mafuta wewe acha kutuzingua zingua - Rais wetu sisi tunamjua.
 
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda

Unamtaka Rais atakayetoka upinzani au atakaye toka kwa Mwenyenzi Mungu??
 
Naona umepata majibu ya kutosha mimi nafikiri hukujipanga ,hapa sio kijiwe cha kahawa.
 
Prezda-Judge Warioba
Nishat Madini-Magufuli
Mambo ya ndani-Slaa
Waziri Mkuu-Mnyika
Viwanda Biashara-Mbowe
Spika-Sitta
Utawala bora-Kilango
 
Back
Top Bottom