mzee wa mawe
Senior Member
- Aug 2, 2011
- 151
- 15
Endapo tunataka kufanya mabadiliko inatubidi tuwe makini tusije fanya mabadiliko ya kumuweka kiongozi atakaye kuwa kioja, hivyo inatakiwa tuwe makini kwani upande wetu wa upinzani tunaudhaifu ya wagombea wetu tuwe makini tuwachunguze, kwa makini tusije pata Rais mropokaji, mwenye maamuzi ya jazba, hana busara, hekima, mbinafsi, mdini na si mzalendo Nawaomba wanajf katika kujadili hili tusisukumwe na utashi wa udini, ukabila na ukanda