Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Anakuwa mbunge wa Mahakama kwa miaka mitano,
Hapo yy anakuwa amepata faida kuliko ww wala chadema
Kwanza unajuwa ana kesi za jinai ngapi mahakamani? Akiongezewa na hii ya kugushi si jela hiyo?

Hivi mnadhani kina Kibatala pale Chadema kazi yao ni nini?
 
Anakuwa mbunge wa Mahakama kwa miaka mitano,
Hapo yy anakuwa amepata faida kuliko ww wala chadema
Sawa hilo ni la kwake..hata akiwa mbunge wa kudumu wa mahakama na Ndugai hadi astaàfu atajua mwenyewe, cha msingi sisi TUMESHAMTIMUA.
 
Kuna mmama aligombea jimbo na mkurugenzi aliyekuwa Dom huko Moro sijui ni Mlimba au nini yuko poa yule kuongoza
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Susan Kiwanga atosha
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom