Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Kwa nini isiwe wewe kamanda?

Chini yako BAWACHA inaweza kuwa revamped and become vibrant kinoma!
 
Sijakataa ila atleast hakuwemo kwenye List. Ila anafaa nafasi fulani ndani ya Bawacha anakamsimamo fulani, japo wanawake sio wa kuwaamini sana
Bora akuwepo maana mngegombana hahaha coz wenyewe viongozi Walitaka mtu ambae ataenda viti maalum atoe 50% ya mapato yake kwenye chama
 
Sijakataa ila atleast hakuwemo kwenye List. Ila anafaa nafasi fulani ndani ya Bawacha anakamsimamo fulani, japo wanawake sio wa kuwaamini sana
Wanaume wameanza "usaliti" kabla ya wanawake. Na kwa idadi bado "wasaliti" wa kiume ni wengi kuliko wanawake.

Amandla...
 
Sio kwa Afrika yetu hii..... CUF walifanya hili kosa kutoweka mwenyekiti na kuwa chini ya baraza la uongozi.

What happened kila mtu anafahamu.... Ucje shangaa siku Mdee anarudi na kudai ni mwenyekiti halali wa BAWACHA na mahakama ikamlinda.

Na kma hawakuweka replacement ndio mgogoro ule wa CUF utahamia CHADEMA rasmi.
Uelewe kuwa BAWACHA sio Chama, BAWACHA ni baraza la chama kwa wanawake. Mpaka uichukue Chadema ndio utapata nafasi ya kuongoza BAWACHA.

Jee umekwisha jiuliza wakijaza nafasi influence ya Halima itapotea? Na itachukua muda gani?

Kuna series of attacks zitaongozana na kina Mdee ndio watatoa map ya mashambulizi.

Hii ni vita kubwa kuliko macho yanaweza kuona. Kwa leo hii, hatuna idara ya utafiti na utekelezaji ambayo inao think tanks ya kuchangia na ku neutralise attacks kwa ufanisi na haraka.
 
Wale Wanawake ambao wataweza tu Kumridhisha Mwenyekiti Wao Taifa kwa Sera zao hasa za Faragha na Kibaiolojia hadi Kufurahi ndiyo watafaa.
Nadhani hili ndilo andiko duni na la kibwege zaidi hapa jukwaani tangu mwaka huu uanze , hongera kwa kuvunja rekodi
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
1.Hilda newton
2.Rose mayemba
3. Upendo peneza
4. Devotha minja
5.yule dada wa Tanga aliye chuana na mwana FA
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
***** sisiemu, wameshawasahaulisha uchaguzi sasa hivi mko bize na ishu zenu za ndani!
sisiemu ni mtambo!
 
Catherine Ruge,ameonyesha ukomavu na kutokuwa na tamaa mbele,Kama alishawishiwa na wenzake na bado akasimamia msimamo wake kwamba hawezi saliti chama.Huyu anafaa sana.
 
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Sawa tu nidhamu kwanza hayo mauchafu yenu peleka lumumba
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Wewe!
 
Back
Top Bottom