hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,446
- 6,311
Hata yy angekuwepo kwenye list angeenda tuSusan Kiwanga anafaa sana sehemu ni mama asiyeyumbishwa na vipande 30
Hata yy angekuwepo kwenye list angeenda tuSusan Kiwanga anafaa sana sehemu ni mama asiyeyumbishwa na vipande 30
Kwa nini isiwe wewe kamanda?Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.
Sijakataa ila atleast hakuwemo kwenye List. Ila anafaa nafasi fulani ndani ya Bawacha anakamsimamo fulani, japo wanawake sio wa kuwaamini sanaHata yy angekuwepo kwenye list angeenda tu
Bora akuwepo maana mngegombana hahaha coz wenyewe viongozi Walitaka mtu ambae ataenda viti maalum atoe 50% ya mapato yake kwenye chamaSijakataa ila atleast hakuwemo kwenye List. Ila anafaa nafasi fulani ndani ya Bawacha anakamsimamo fulani, japo wanawake sio wa kuwaamini sana
Wanaume wameanza "usaliti" kabla ya wanawake. Na kwa idadi bado "wasaliti" wa kiume ni wengi kuliko wanawake.Sijakataa ila atleast hakuwemo kwenye List. Ila anafaa nafasi fulani ndani ya Bawacha anakamsimamo fulani, japo wanawake sio wa kuwaamini sana
Mimi nilidhani walitaka rushwa ya ngono?Bora akuwepo maana mngegombana hahaha coz wenyewe viongozi Walitaka mtu ambae ataenda viti maalum atoe 50% ya mapato yake kwenye chama
Toa matusi hapaWasaliti gani waliotimuliwa, hajatimuliwa mtu, ingawaje unapanga mke wako ndo ashike hiyo nafasiiii. Hao wanawake wameonewaa
Hapo sio rushwaMimi nilidhani walitaka rushwa ya ngono?
Amandla...
Kama ni mkristo, rejea Eden utajua wanawake ni akina nani,,! Nisamehe kwa kuuliza dini yako.Wanaume wameanza "usaliti" kabla ya wanawake. Na kwa idadi bado "wasaliti" wa kiume ni wengi kuliko wanawake.
Amandla...
Uelewe kuwa BAWACHA sio Chama, BAWACHA ni baraza la chama kwa wanawake. Mpaka uichukue Chadema ndio utapata nafasi ya kuongoza BAWACHA.Sio kwa Afrika yetu hii..... CUF walifanya hili kosa kutoweka mwenyekiti na kuwa chini ya baraza la uongozi.
What happened kila mtu anafahamu.... Ucje shangaa siku Mdee anarudi na kudai ni mwenyekiti halali wa BAWACHA na mahakama ikamlinda.
Na kma hawakuweka replacement ndio mgogoro ule wa CUF utahamia CHADEMA rasmi.
Nadhani hili ndilo andiko duni na la kibwege zaidi hapa jukwaani tangu mwaka huu uanze , hongera kwa kuvunja rekodiWale Wanawake ambao wataweza tu Kumridhisha Mwenyekiti Wao Taifa kwa Sera zao hasa za Faragha na Kibaiolojia hadi Kufurahi ndiyo watafaa.
1.Hilda newtonWakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.
***** sisiemu, wameshawasahaulisha uchaguzi sasa hivi mko bize na ishu zenu za ndani!Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.
Membe alionewa?Wasaliti gani waliotimuliwa, hajatimuliwa mtu, ingawaje unapanga mke wako ndo ashike hiyo nafasiiii. Hao wanawake wameonewaa
Sawa tu nidhamu kwanza hayo mauchafu yenu peleka lumumbaNi kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Wewe!Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .
Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.
Natanguliza Shukrani.