Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Suzan Kiwanga, Mbunge halali wa Mlimba
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Kwa haraka haraka nakupendekeza wewe 😊 Mungu endelea kuibariki Chadema
 
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Unaweza kukumbuka Benard Membe alifukuzwa nq chama kipi na kwa kosa lipi?
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Kwakuwa wanachama wengi wa Chadema mwisho wa siku wanaonekana ni wasaliti mfano Wangwe, Zitto, Kitilla na sasa akina mama Mdee, Esther Matiko, Bulaya, Chadema isimwamini mwanachama yeyote kumpa uongozi. Hivyo, basi ili Chadema ibaki imara na iendelee kuwa imara nashauri Uongozi wa BAWACHA ubaki chini ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe!!!
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Wale Wanawake ambao wataweza tu Kumridhisha Mwenyekiti Wao Taifa kwa Sera zao hasa za Faragha na Kibaiolojia hadi Kufurahi ndiyo watafaa.
 
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.

Vuta fikira ujinga kama huu ungefanywa ndani ya CCM ya Magufuli hawa akina mama muda huu wangekuwa wapi?
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Mkuu erythrocyte tatizo chadema Ina watu kibao nashauri KWA nafasi hizi wajitokeze wagombea, kila mmoja KWA wakati wake ajinadi ili tuweze kupima uwezo wao,
Alafu kazi kubwa kamati kuu umefanya jana,so KWA hili pasiwe na haraka ili kupata watu bora
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Chama kusikiliza aina ya watu wa aina hii ni kielelezo tosha kuonyesha chama kimeshakufa tayari..chama chenye uhai hakiwezi kutishwa na kelele za wahuni wnaofanya siasa mitandaoni, toka uchaguzi kwisha na chama hiki kuomba kuungwa mkono barabarani kwa maandamano, kwa kelele wanazopiga na kushabikia hukumu za wengine hawa wajinga wa humu walipaswa wawe wa kwanza kuwa barabarani..maneno meeengi bila reasoning!
 
Labda kama mna wanasiasa wanaoishi kwa upepo, lakini hawa ambao wanaishi kwa ugali kama sisi, haya mambo hayataisha.
 
Ni kweli lakini approach waliyotumia uongozi wa cdm kushughulikia jambo hili sio sahihi. Kwa hiyo hata hayo maamuzi ya kamati kuu ya cdm yamefanyika kwa kuzingatia kauli walizozitoa kwa umma kabla baada tu ya tukio la kuapishwa wabunge wa viti maalum kupitia cdm, hivyo wasingeweza kubatilisha kauli zao. Kwa mwenendo huu cdm itakuwa ngumu kushika dola kwa sababu kila wakati wao ni kufukuzana bila utaratibu. Cdm imewekeza rasilimali fedha na muda mrefu sana kuwajenga kiuongozi kwa ajili ya kusimamia taasisi katika kufikia lengo lililokusudiwa halafu kabla ya kufikia engo unafukuza na kuanza upya. Sidhani kwa approach hii kama utaweza kufikia lengo.
Kwa maoni yako wangefanywaje labda, tupate uzoefu wako.
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Mimi nampendekeza Musubhati CPA Catherine Ruge apewe hiyo nafasi!
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Suzan Limbwali Kiwanga anafaa sana au CPA Catherine Ruge
 
Wakuu muda ni mchache sana na mambo ni lukuki, bila kupoteza muda Kamati kuu ya CHADEMA baada ya kutimua wasaliti, imeagiza mchakato wa kujaza nafasi zao uanze mara moja, jambo ambalo naliunga mkono .

Sasa kwa haraka haraka unadhani ni nani kati ya akina mama waliopo chadema kwa sasa anayefaa kutwaa nafasi iliyoachwa wazi na Msaliti Mdee baada ya kufurushwa? kumbuka kwamba Chadema haijawahi kupuuza maoni ya wengi.

Natanguliza Shukrani.
Catherine Ruge
 
Back
Top Bottom