Nani anafaa kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020 kwenye kinyang'anyiro cha Urais?

Prof. Jay au Sugu wanatosha sana mana hawa ni makamanda wa ukweli waliobakia ambao hawana price tags shingoni mwao!
 
Freeman Mbowe hataki kugombea Urais kwa kuwa atapoteza Mgodi wake wa Kiongozi wa Upinzani Bungen
Freeman Mbowe hana sifa ya kuwa mgombea wa kiti cha urais kwani katiba ya nchi inataka mgombea wa urais awe mhitimu wa angalao degree ya kwanza (Bachelor degree) kutoka chuo kikuu kinachotambuliwa na tume ya ithibati ya taifa. Kwa nafasi ya ubunge hapo ana qualify kwani katiba inataka mgombea ubunge awe tu na elimu ya KK (kusoma na kuandika). Kwa kiti cha udiwani ni raia ye yote yule hata kama hana KK.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili

Maza wako atapendeza zaidi kupeperusha bendera hiyo
 
YEHODAYA na Lizaboni: Kwani CHADEMA itakuwepo? Mbona mmesema mnataka kufikia 2020 kusiwe na chama cha upinzani?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
Ebu achieni mikutano ya kisiasa hata kwa siku moja uone utakavyopata jibu lako, sasa hivi bado unafikiria kwa Chura a.k.a makalio ndio maana unauliza swali la hovyo kiasi hichi.

Vipi hali ya manunuzi inaendeleaje?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
Uchaguzi wa nini....
 
Mnamtaka m-tundu Lissu pyuupyuu au Kadi flukoni Pesa mkononi au mnataka mmwekee "connection joint"? Jitahidi ila naomba msimbaini maana mna nia ovu
 
Huduma za Afya kwenye hospitali zetu nyingi ni mbovu na watu wengi hupoteza maisha kutokana na huduma mbovu.
Upatikanaji wa ajira Tanzania umekua mdogo kifupi soko la ajira ni gumu..
Elimu ya Tanzania ni mbovu na haikidhi viwango vya kimataifa, hata hiyo mbovu bado wanayoipata ni wachache.
Miundombinu mibovu, bado maeneo mengi hayafikiki ikirahisi.
Idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati ni ndogo.
Idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo ya elimu ya juu ni ndogo kulingana na mahitaji..
Bado watanzania walio wengi ni masikini kiasi cha kushindwa kupata elimu bora, lishe bora, malazi bora nk.
Idadi kubwa ya Watanzania bado wanaishi kwenye nyumba duni.
Idadi kubwa ya watanzania bado wanatumia vyoo hatari kwa afya zao.
Bado vifo vya wamama wajawazito na watoto ni vingi kuliko maelezo.
Umeme bado ni tatizo kubwa Tanzania na hautoshelezi mahitaji na miundombinu yake ni mibovu.
Bado Tanzania inahesabika kama moja ya nchi masikini kabisa duniani.
Bado asilimia kubwa ya watanzania wanatumia maji yasiyo safi na salama na wengine wanashare maji na ng'ombe.
Bado Tatizo la soko kwa wakulima linasumbua Tanzania tokea uhuru.
Bado wanafunzi wanatembea kilomita nyingi kufika shule..
Bado mimba za utotoni ni shida na jamii nyingi bado ni Primitive.
Bado jamii kubwa ya kitanzania ni Primitive na haijaelimika na haijui dunia inaendaji.
Bado Mpaka leo hii Serikali ianshindwa kuongeza ufanisi wa bandari na njia nyingine za kiuchumi.
Bado wimbi la magonjwa kutokana na mazingira duni na hovyo, kipindupindu,uti wa mgongo linasumbua tanzania.
Malaria bado ni tatizo kubwa linaloua watu wengi kila siku Tanzania na tumekosa ufumbuzi.
Bado mahakama zetu zimejaa watu wenye kesi mbalimbali ambazo hukuma zinachelewa na msongamano mkubwa.
Bado sheria inatatiza na watu wengi wanakosa msaada wa kisheria.

MATATIZO NI MENGI KIASI CHA KUTOTOSHA HAPA JF, SASA NI VYEMA KWA WINGI WETU TUKAISHINIKIZA SERIKALI IKATATUA KWANZA MATATIZO LUKUKI YANAYOTUSUMBUA KULIKO KUTUMIA MUDA WETU MWINGI KUPAMBANA NA CHADEMA AMBAO WAMEJIKITA KUIKOSOA SERIKALI ILI ITATUE MATATIZO YA WANANCHI AMBAYO YAPO MEEENGI KAMA NILIVYOORODHESHA HAPO JUU...

MATATIZO YAKIISHA NA WATANZANIA WAKAISHI MAISHA BORA KABISA NA KILA KITU KIKAWA KINAKWENDA VIZURI AUTOMATICALLY CHADEMA HAITAKUWEPO..

AMELAANIWA ANAYEPOTEZA MUDA WAKE KUITETEA SERIKALI WAKATI MATATIZO TANZANIA NI MENGI NA CHANZO CHAKE NI SERIKALI KUSHINDWA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom