Nani anafaa kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020 kwenye kinyang'anyiro cha Urais?

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
 
Freeman Mbowe hataki kugombea Urais kwa kuwa atapoteza Mgodi wake wa Kiongozi wa Upinzani Bungen
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
Mnatafuta wa kumnunua jaribuni CUF Lipu
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
Kingunge Ngombale Mwiru!
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
MTU yeyote atakayekuwa na pesa za kutosha kununua Chadema kutoka kwa wakiouziwa walioko sasa atapewa nafasi ya kugombea.Kama hatakuweko mnunuzi Chadema hakitasimamisha mgombea uraisi watajidai wao watagombea ubunge na udiwani tu kumbe Chadema kimekosa mnunuzi Nyalandu kama anazo anunue wampe ugombea uraisi
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Nimekaa nikafikiria na kuwaza kwa kweli nimebaini CHADEMA wana hali mbaya sana kisiasa. Wamepoteza dira na hawana mwelekeo. Sioni wa kukinusuru hiki chama angalau kisimamishe tu mtu wa kuweza kukimbizana na Rais Magufuli 2020.

Mtaji wao wa mwaka 2015, Edward Lowasa hajapanga kugombea tena 2020 bali anajipanga kugombea 2025 bila shaka kwa tiketi ya CCM kama atakubaliwa kurejea chamani. Sasa najiuliza, nani mbadala wa Lowasa 2020?

Nimejiuliza peke yangu nimekosa jibu. Nisaidieni wadau kunipa jibu la swali langu hili
itakuwepo bado, labda cdm ccm
 
Back
Top Bottom