Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
Kamanda Heche angefaa sana hiyo nafasi akishirkiana kwa karibu na kamanda Lema.Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?
Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.
Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).
Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).