Nani anaemhudumia mwenzie kwenye mechi?...nani alipie huduma?

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Dec 28, 2010
1,259
117
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
 
MENEJA wa hiyo MECHI ndo analipa gharama zote!!
WANAHUDUMIANA Mkuu, VIPI hujawahi kucheza MECHI???!!!
Pia unazungumzia mechi ipi ya NDANI au NJE ya inji??!!

Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
 
MENEJA wa hiyo MECHI ndo analipa gharama zote!!
(WANAHUDUMIANA) Mkuu, VIPI hujawahi kucheza MECHI???!!!
Pia unazungumzia mechi ipi ya NDANI au NJE ya inji??!!

Kwanini wasichangie gharama?
Kwani hizo mechi za nje ni zipi?
Au za ndani ni zipi?
 
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote iweje yeye ndo agharamike zaidi?
 
mshapeana...gharama itoke wapi tena? labda kama we ni fataki, umpe hela ya chupi
 
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote iweje yeye ndo agharamike zaidi?

Hili itabidi tuelimishane.
Hizi sehemu mbili zijulikane.
 
Hakuna wa kulipa gharama baada ya mechi maana kila kitu kinakuwa kimekwisha na watu wanaangalia ni nani kashinda na kufanya tathmini ya mchezo.
 
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano
 
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano

Mr alipie maandalizi?
Wakati nyie wote mmehusika...mechi ikawa si yakuridhisha...upande 1 ulishindwa...hapo bado anakandamizwa Mr alipie pambano?

Kwwani aliepanga kua ni lazima mechi yeyote ilipiwe na Mr ni nani?
Ilikuaje iwe hivyo?

Inantiza sana!
 
Mr alipie maandalizi?
Wakati nyie wote mmehusika...mechi ikawa si yakuridhisha...upande 1 ulishindwa...hapo bado anakandamizwa Mr alipie pambano?

Kwwani aliepanga kua ni lazima mechi yeyote ilipiwe na Mr ni nani?
Ilikuaje iwe hivyo?

Inantiza sana!
mwanaume ni kichwa katika yote na popote
 
mwanaume ni kichwa kwa mwanamke
ni duty yake kulipia kila kitu ata km jamaa kpato chake kduchu ni lazima agharamie MCHEZO
YEs ata demu ndo aliomba pambano stl mwanaume anahitajika kulilipia pambano

kwani raha napata peke yangu....
 
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.

Ili ngo'mbe akupe maziwa, lazima umpe mashudu.
 
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote iweje yeye ndo agharamike zaidi?

Preta hapo hapana, kumbuka yeye ndo kasotea kuomba hiyo mechi, then yule mwenzie akaipiga ipasavyo japo walishirikiana hapo ni maelewano walipane au waagane kimya kimya kila mtu apotezee, lakini bado alieomba mechi anatakiwa alipie gharama za usumbufu.
 
Back
Top Bottom