Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Waheshimiwa GT!
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.
Hili linanisumbua sana...naomba kusaidiwa.
Hivi ikiwa wewe Mr umejitahidi kwa bidii zako zote hadi ukamuopoa dem...ukampeleka unapojua mwenyewe ...ukagharamia uwanja wa mechi na huduma zinginezo.
Baadae mechi ikaanza...bila shaka nyie wote timu mbili upande huu na upande ule...mmeshiriki ipasavyo kuhakikisha mnawekeana upinzani wa kutosha ili siku nyingine mechi irudiwe.
Sasa baada ya huo mchezo nani anastahiki kumlipa au kugharamia hiyo huduma?
Ni hayo tu.