Ila ilikuwa ni reckless move, hata alipoanza kukimbia, jamaa angekuwa serious kidogo, huyo shujaa asingekuwepo sasa.

Waliokuwa wanamfanyia covering walikuwa wanapiga off-target by far na pengine wakimlenga yeye wakidhani ndo wanam-cover
Alikimbia kijinga sana.
Anakimbia straight, jamaa angetoa kichwa na kumuona angemmaliza
 
huyu alikuwa sawa! wa kulaumiwa ni kampuni yake cha kwanza kwa kutompa bullet proof jacket.Lakini pia sheria za makampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania zimepitwa na wakati.na kingine Tanzania bado atujawa na Ugaidi au Ujambazi kama Sauz na Kenya! lakini Kamanda was doing his Job kisawasawa na alikuwa anawasiliana kwa Ishara zote kama askari alie kwenye uwanja wa vita.Pitia Video yake na angalia alitumia ishara ngapi kati ya hizi

View attachment 1909973

View attachment 1909974
nina uhakika polisi waliokuwa pale walikuwa hawamwelewi kwa ishara wao ni kupigapiga risasi ovyooovyoo
 
Watu wameshiba ugali maharage basi wapo nyuma ya keyboard zao wanatema ujinga. Muulize mtu kama ameshawahi kusikia mlio wa risasi just 20m away.

He did what he did, hongera kwake!
n mjinga hata kwenye movie sijawahi ona hii kitu

movie utaona kajificha kwenye kimeza au kitu cyo kama hilo jinga
 
Ila ilikuwa ni reckless move, hata alipoanza kukimbia, jamaa angekuwa serious kidogo, huyo shujaa asingekuwepo sasa.

Waliokuwa wanamfanyia covering walikuwa wanapiga off-target by far na pengine wakimlenga yeye wakidhani ndo wanam-cover😅
Wabongo kwa uchambuzi tuko vizuri. Vita za mdomoni tunashinda asubuhi tu.

LIVE ndio zero kabisa
 
Siyo kweli. Inaonekana wewe hata JKT hujapitia. Siyo kazi ya askari kujipeleka peleka ovyo. Wamejifunza mbinu za kivita/mapambano/kukabiliana na adui. Siku nyingine ukitaka kuandika kiingereza, andika hivi "He is a national hero. He did what a true soldier is expected to do. Kilangila.
Ha ha mkuu Inaonesha wewe ni mwalimu wa Kingereza
 
He is the Nation Hero. He did what a true soldier expected to do
hakuna hero hapo mzee,
he was like 3 meters from him, and hakuonwa,
ka shoot mara 3 kama sio 4, na alikua na bastola, na bado kamduku,

hadi anapigwa yeye kizembe sana,
af cheki askali wa4 wapo upande wa kwenye rami huku,
nabado wakashindwa kumcover mwenzao asidunguliwe na jamaa,
daaaH askari wetu bado sana aisee..

kwa hili, wameonyesha uzembe mkubwa sana ndani ya jeshi la polisi upande wa shabaha,

embu cheki zile sekunde 15, jamaa kajitoa kabisa yupo sehem wazi na risasi zimemwishia,
nabado wakawa wana mkosa kwa sekunde 15 wana piga risasi pembeni,

na ujue sio Askari mmoja,
nizaidi ya askari 14 wana mshambulia Mtu mmoja kwa sekunde 15 nawana mkosa.

IVI ASKARI WETU WANA MAZOEZI ENDELEVU UPANDE WA SHABAHA, KAMA VILE ILIVO JESHINI.?
 
Ndiye aliyemrushia tear gas ndio akatoka kwenye kibanda baada ya kuzidiwa na moshi.
io Tear gas alilusha mda gani mzee baba??

ila kinacho nipa wasiwasi,

nikwa wale wanaosema jamaa sio Gaidi,
ivi jaman,
mtu usie na mafunzo ya utumiaji siraha, unawezaje kutumia vizur siraha kama anavyo tumia brother etu huyu,

na ukicheki anavyo ishika siraha daah, yani kabisa inaonesha anamafunzo, na ana uzoefu nazo izo siraha zote, Bastola na io bunduki kubwa,

Mungu ibariki Tanzania, Mungu Tubariki Watanzania wote..
 
Na kwa shabaha aliyokuwa nayo Hamza huyo askari aushukuru ule ukuta uliomkinga, la sivyo tungekuwa tunasema mengine hapa.

Halafu nimejiuliza:Hamza kawasumbua vile akiwa kwenye eneo la wazi. Je,ingekuwa tuna bifu na Taleban tungeuweza muziki wao?vipi Shaabab,Boko na 'wanyama' ISIS?
 
Huyu Sio atakua huyo wanayedai mlinzi wa kampuni binafsi aliyeuwawa?

Watu Chuma sijui wanaichukuliaje, kama ni hio badge wanivue tuu ila mbele ya chuma Sitaki unifundishe uzalendo bora nionekane kunguru..kaacha Dona kizembe sana...

Nishauri kotee ila Ikifika mahala options ni kifo au uhai, sitaki ushauri.
Umemaliza
 
hilo jamaaa ni lijinga sanaa ....kafa kwa uzembe hata FBI au polisi kokote hawawez fanya hyo mbinu ...yani unapiga risasi km vile hamza ana mawe

We nae si uwe unasoma comments na kuelewa,unaambiwa yupo hai Muhimbili anatibiwa wewe unakurupuka na kejeli zako za “kafa kwa uzembe”.Huwa mna haraka gani ya ku comment?
 
Watu wameshiba ugali maharage basi wapo nyuma ya keyboard zao wanatema ujinga. Muulize mtu kama ameshawahi kusikia mlio wa risasi just 20m away.

He did what he did, hongera kwake!

Wanachekesha sana,si ajabu hawa wanaocomment wengine ndiyo waliokuwa wanarecord pale juu ya jengo la KCB huku jasho za kwapa zikiwatoka kwa uwoga
 
Katika Jeshi, huyu ni Hero....!

Yeye ndiye aliemtoa mhalifu alikojificha kwa kumrushia Bomu la machozi (Disgusting/Tear gas)

Mwanajeshi kufa au kuua vitani ni ushindi sio Woga, angekuwa mwoga angelala nyumbani au angegoma kuingia katika mapambano

THINK
Ni kweli mkuu yeye alijitolea ili wenzie waione target kwa urahisi na kushambulia lakini wakafanya chini ya kiwango(jamaa alitoka mara mbili ila akapigwa off target mara kibao) n ibora wangetumia fire and movement palepale kwenye kibanda alipojificha nadhani asingetoboa.
 
Ni kweli mkuu yeye alijitolea ili wenzie waione target kwa urahisi na kushambulia lakini wakafanya chini ya kiwango(jamaa alitoka mara mbili ila akapigwa off target mara kibao) n ibora wangetumia fire and movement palepale kwenye kibanda alipojificha nadhani asingetoboa.
mkuu,
inamana pale target walikua hawaioni?
 
Sema hao askar wengine walishindwa kumpa support,kama kungekua na sniper jamaa alivotokeza tu kichwa wange mtandika,na kumsaidia huyo mwenzao,ila jamaa alienda kizembe sana halafu anakimbia anageuka nyuma.Huyo askar alifanya kazi nzur sana japo hakua na tahadhari ya kutosha kama kulikua na mduangaji mzur game ilikua inaisha first half tu..Jamaa mpaka ametoka pale ameenda katikat ya barabara alikoswa na risas nyingi sana,ina maana askar wetu hawana shabaha nzur,risas ni nyingi sana zilizo mkosa..
Nadhani askari wetu hawajazoea mambo haya ya mapambano, so walijawa na mtero(mawenge/woga) ndo maana walifanya chini ya kiwango ila yote kwa yote tuwashukuru sana mission ilikamilika.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom