Ni kweli, hawa wamachinga na ajira zisizo rasmi wanaendelea kuondolewa na vibanda hivyo vikiungua hawatakuwa na nafasi ya kurudi tena hapo, wala vibali vya ujenzi havitatolewa kwao, waende sehemu rasmi zilizoandaliwa na serikaliMaandalizi ya kuifanya tz ya uwekezaji
Mboe ndio nini au unawaza mbowafuasi wa mboe lazima wachunguzwe.
jeshi la polisi lianze kwanza na hao wafuasi wa mboe.
Sisi Raia wema tutoe taarifa mara tunapoona kuna viashiria vya kihalifu.
mboe alikuwa anawatumia sana vijana kufanya vitendo vya kihalifu.
mboe alisha pandikiza chembe chembe za kihalifu kwa wafuasi wake, hivyo wafuasi wake ni watu hatari sana, wanapaswa kufuatiliwa nyenendo zao hadi chooni.
Naona mimba changa inakuzingua nafikir utazaa mtoto chademaMsajili wa Vyama anapaswa akifutile mbali hiki chama ambacho kionhozi wake ni Gaidi.
hiki chama cha Chadema hakina nia njema na amani ya nchi yetu.
hakifai kabisaa maana misingi ya chama hicho ni uhalifu.
Acha tabia yako ya uchokoMsajili wa Vyama anapaswa akifutile mbali hiki chama ambacho kionhozi wake ni Gaidi.
hiki chama cha Chadema hakina nia njema na amani ya nchi yetu.
hakifai kabisaa maana misingi ya chama hicho ni uhalifu.
Shoti ya umeme kwenye masoko.Mwenge kwa mujibu wa Rpc Kinondoni ni Shoti ya umeme
Recently kuna Vibanda vya wamachinga vimeteketea Mabibo Hostel , Mwenge na leo Tunduma , hatujui kesho ni wapi ?
Ni nani anayechoma moto vibanda na masoko haya na kwa faida ya nani ?
tafadhali usije na majibu uchwara kama huna majibu Shut up .
Kuna Mtu kanitonya unaweza Kuwaka kati ya Singida au Mtwara au Tabora. Stay tuned!Leo unawaka wapi Tena mkuu
Tufungue thread ya kupeana updates za MIOTO TU hasa kipindi hiki wakuu kwa ajil ya reference hapo baadae
Ngoja tusubiri tuoneKuna Mtu kanitonya unaweza Kuwaka kati ya Singida au Mtwara au Tabora. Stay tuned!