DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Natamani kuwa mzalendo lakini sijui, kwa zama na nyakati hizi za sasa tulipofika ili uwe mzalendo ni sifa zipi zinakufanya kuwa mzalendo?
Napata shida sana naomba mnijuze wanajf hivi ni kweli katika Watanzania Miliioni Alobaini na Usheehee hatuna akina Nyerere wala Edward Moringe Sokoine ambao jamii inaona wanafaha kukuzwa na kupewa dhamana ya kuongoza kwa maslahi na faida ya Watanzania?
Naomba mnijuze nani ana jukumu na mamlaka ya kutayarisha na kuunda Wazalendo na Wana wa Nchi ya Tanzani?.
Na hao Wazalendo au Wana wa Nchi kama Wapo ni kina nani kwa sasa tuwasupport watusaidie kutukwamua kutoka kwenye hofu na mashaka pasipokujali wanatoka chama gani?
Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere na Hayati Edward Moringe Sokoine ni tunu ya viongozi wachache wna wa Nchi ambao walisimamia haki na mali asili ya Watanzania kwa faida yetu na kwa vizazi vyetu.Walisimamia na kuwa na dhamana ya maliasili zote za Taifa, ambazo wangependa unyonyaji wangekuwa matajili wakubwa sana wao na familia zao lakini walikufa maskini, Nijuzeni maswali yangu hayo juu.
Nawasilisha
Napata shida sana naomba mnijuze wanajf hivi ni kweli katika Watanzania Miliioni Alobaini na Usheehee hatuna akina Nyerere wala Edward Moringe Sokoine ambao jamii inaona wanafaha kukuzwa na kupewa dhamana ya kuongoza kwa maslahi na faida ya Watanzania?
Naomba mnijuze nani ana jukumu na mamlaka ya kutayarisha na kuunda Wazalendo na Wana wa Nchi ya Tanzani?.
Na hao Wazalendo au Wana wa Nchi kama Wapo ni kina nani kwa sasa tuwasupport watusaidie kutukwamua kutoka kwenye hofu na mashaka pasipokujali wanatoka chama gani?
Hayati Baba Wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere na Hayati Edward Moringe Sokoine ni tunu ya viongozi wachache wna wa Nchi ambao walisimamia haki na mali asili ya Watanzania kwa faida yetu na kwa vizazi vyetu.Walisimamia na kuwa na dhamana ya maliasili zote za Taifa, ambazo wangependa unyonyaji wangekuwa matajili wakubwa sana wao na familia zao lakini walikufa maskini, Nijuzeni maswali yangu hayo juu.
Nawasilisha