Wadau natumai umuhimu wa wizara ya fedha katika mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu unaeleweka vema. ndio wizara mpangaji wa bajeti ya serikali na yenye uwezo wa kuelekezaa matumizi bora ya fedha za umma kupitia manunuzi na kupunguza gharama za uendeshaji ili kuleta tija nchini.
je waziri wa fedha kama kiongozi wa kisiasa mwenye ushawishi mkubwa katika utekelezaji wa bajeti ya serikali ameonyeshaa uwezoo wowote katika hili??
naomba tuwachambue waliowahi kuongoza wizara hii na tija yao kwa umma.
je waziri wa fedha kama kiongozi wa kisiasa mwenye ushawishi mkubwa katika utekelezaji wa bajeti ya serikali ameonyeshaa uwezoo wowote katika hili??
naomba tuwachambue waliowahi kuongoza wizara hii na tija yao kwa umma.