aseee... niliandikiwaga na manzi flani mixer mauwa n.k n.k ubaya nilikuwa bado sijielewi hata sikumjibu kitu penzi liliishia kihayawani,uzuri nilikuwa nimebakiza 2 days kusepa eneo hilo nachokumbuka juu ilikuwa imeandikwa "Mwaaaaaaaaaa" mengine chili yangu
Mwaka 1976 ILEKANILO P/s
ilikamatwa barua nikiwa nimetumiwa na mtoto wa kike
bahati mbaya akaisahau kwenye daftari mwalimu wakati wa kusahihisha akaiona
duh kesho yake tukapelekwa staff tulichezea fimbo kama vibaka vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.