Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
sinza pazuri tupe updates ya hii jet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzushi Mtupu!!sinza pazuri tupe updates ya hii jet
Alianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.Wana jamvi wasalaam!
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa hapa nchini kuwa msanii Diamond amenunua private jet na huku wakisindikizwa na picha wakiwa kwenye ndege hiyo!
Wengi walisema ni kiki na ikumbukwe kuwa kipindi zinatoka habari hizi ni kipindi ambacho Msanii Harmonize alikuwa ametoa wimbo wake wa “atitudoo” na wengi walichukulia ni mbinu za kumkwamisha au kuzimisha “atitudooooo”
Tasnia ilifurahia sana hatua ya Msanii Diamond kununua private jet kwani ilikuwa ni hatua kubwa kwani ukizingatia tulitoka kujuzwa ana miliki nyumba “126” japo wengine walihoji inakuwaje mtu ana miliki nyumba “126” ande kupanga kwenye nyumba ambayo anaweza kuinunua tena haiwezi kuzidi 1billion”
Wengine walihoji kwanini asiuze nyumba hata 30 halafu aongeze pesa anunue hiyo nyumba anayo ishi sasa ambayo amepanga?
Lakini kibaya zaidi ni kitendo cha tajiri Diamond kushindwa kurudi na private jet yake aliyo inunua hivi karibuni?
Watu wanajiuliza inakuwaje amerudi bila private jet? Nani amemuhujumu?
Nani amezuia kutua kwa hiyo ndege hapa nchini?
Wasalaam
Alianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.
The dude has big dreams na ukiangalia picha zake za zamani yaani background yake it's one damn humble background, wengi wenu humu mmelelewa with privileges lakini sidhani kama mna ndoto kubwa kama alizonazo yeye.
TruthAlianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.
The dude has big dreams na ukiangalia picha zake za zamani yaani background yake it's one damn humble background, wengi wenu humu mmelelewa with privileges lakini sidhani kama mna ndoto kubwa kama alizonazo yeye.
Sema masikini huwa anaona fahari kujenga nyumba yake (hajui ya kuwa anazika mamilioni ambayo kama angefanyia biashara angeondokana na umasikini).mkuu kupanga sio ishu ni matakwa ya mtu mwenyew!!
Kuna mzee mmoja ni Mmiliki wa JD pharmaceuticals LTD, ana branches kila mahali za pharmacies kama kuna pharmacy inaitwa Jd mlimani city ya kwake, Jd pale Aura mall ni bilionea lakini kapanga masaki!
Kupanga ni choice ya mtu..
Tena kama ulikua hujui matajiri wengi ndo wanaongoza kwa kupanga...ila unaweza kuta anamiliiki apartments za kufa mtu
Ndege ishafikaWana jamvi wasalaam!
Hivi karibuni kulikuwa na taarifa hapa nchini kuwa msanii Diamond amenunua private jet na huku wakisindikizwa na picha wakiwa kwenye ndege hiyo!
Wengi walisema ni kiki na ikumbukwe kuwa kipindi zinatoka habari hizi ni kipindi ambacho Msanii Harmonize alikuwa ametoa wimbo wake wa “atitudoo” na wengi walichukulia ni mbinu za kumkwamisha au kuzimisha “atitudooooo”
Tasnia ilifurahia sana hatua ya Msanii Diamond kununua private jet kwani ilikuwa ni hatua kubwa kwani ukizingatia tulitoka kujuzwa ana miliki nyumba “126” japo wengine walihoji inakuwaje mtu ana miliki nyumba “126” ande kupanga kwenye nyumba ambayo anaweza kuinunua tena haiwezi kuzidi 1billion”
Wengine walihoji kwanini asiuze nyumba hata 30 halafu aongeze pesa anunue hiyo nyumba anayo ishi sasa ambayo amepanga?
Lakini kibaya zaidi ni kitendo cha tajiri Diamond kushindwa kurudi na private jet yake aliyo inunua hivi karibuni?
Watu wanajiuliza inakuwaje amerudi bila private jet? Nani amemuhujumu?
Nani amezuia kutua kwa hiyo ndege hapa nchini?
Wasalaam