Nani amemkwamisha Tajiri Diamond kununua private jet?

Wana jamvi wasalaam!

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa hapa nchini kuwa msanii Diamond amenunua private jet na huku wakisindikizwa na picha wakiwa kwenye ndege hiyo!

Wengi walisema ni kiki na ikumbukwe kuwa kipindi zinatoka habari hizi ni kipindi ambacho Msanii Harmonize alikuwa ametoa wimbo wake wa “atitudoo” na wengi walichukulia ni mbinu za kumkwamisha au kuzimisha “atitudooooo”

Tasnia ilifurahia sana hatua ya Msanii Diamond kununua private jet kwani ilikuwa ni hatua kubwa kwani ukizingatia tulitoka kujuzwa ana miliki nyumba “126” japo wengine walihoji inakuwaje mtu ana miliki nyumba “126” ande kupanga kwenye nyumba ambayo anaweza kuinunua tena haiwezi kuzidi 1billion”

Wengine walihoji kwanini asiuze nyumba hata 30 halafu aongeze pesa anunue hiyo nyumba anayo ishi sasa ambayo amepanga?

Lakini kibaya zaidi ni kitendo cha tajiri Diamond kushindwa kurudi na private jet yake aliyo inunua hivi karibuni?

Watu wanajiuliza inakuwaje amerudi bila private jet? Nani amemuhujumu?

Nani amezuia kutua kwa hiyo ndege hapa nchini?


Wasalaam
Alianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.
The dude has big dreams na ukiangalia picha zake za zamani yaani background yake it's one damn humble background, wengi wenu humu mmelelewa with privileges lakini sidhani kama mna ndoto kubwa kama alizonazo yeye.
 
Alianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.
The dude has big dreams na ukiangalia picha zake za zamani yaani background yake it's one damn humble background, wengi wenu humu mmelelewa with privileges lakini sidhani kama mna ndoto kubwa kama alizonazo yeye.

 
Miye anachonishangaza huyo tajiri bado anasota nyumba ya kupanga sijui kwanini hajengi hekalu lake.
 
Alianza kusema ananunua RR 2015 lakini kapigana na miaka ikaenda lakini hatimaye akalinunua, ukiperuzi humu JF threads za kitambo utaona vichambo alivyokuwa akipewa kwa kuahidi kuwa atanunua RR hivyo basi hata suala la private jet kwa kuwa ameshasema obvious amenuia na ni suala la bank-balance kukaa sawa atalitimiza.
The dude has big dreams na ukiangalia picha zake za zamani yaani background yake it's one damn humble background, wengi wenu humu mmelelewa with privileges lakini sidhani kama mna ndoto kubwa kama alizonazo yeye.
Truth
 
mkuu kupanga sio ishu ni matakwa ya mtu mwenyew!!

Kuna mzee mmoja ni Mmiliki wa JD pharmaceuticals LTD, ana branches kila mahali za pharmacies kama kuna pharmacy inaitwa Jd mlimani city ya kwake, Jd pale Aura mall ni bilionea lakini kapanga masaki!

Kupanga ni choice ya mtu..

Tena kama ulikua hujui matajiri wengi ndo wanaongoza kwa kupanga...ila unaweza kuta anamiliiki apartments za kufa mtu
Sema masikini huwa anaona fahari kujenga nyumba yake (hajui ya kuwa anazika mamilioni ambayo kama angefanyia biashara angeondokana na umasikini).

Matajiri wengi anaona kuzika lets say 250 million kwenye ujenzi its better hiyo hela iendelee kuwa kwenye mzunguko, then atapanga kwenye nyumba nzuriii kwa 10 to 15 mil kwa mwaka!
 
Wana jamvi wasalaam!

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa hapa nchini kuwa msanii Diamond amenunua private jet na huku wakisindikizwa na picha wakiwa kwenye ndege hiyo!

Wengi walisema ni kiki na ikumbukwe kuwa kipindi zinatoka habari hizi ni kipindi ambacho Msanii Harmonize alikuwa ametoa wimbo wake wa “atitudoo” na wengi walichukulia ni mbinu za kumkwamisha au kuzimisha “atitudooooo”

Tasnia ilifurahia sana hatua ya Msanii Diamond kununua private jet kwani ilikuwa ni hatua kubwa kwani ukizingatia tulitoka kujuzwa ana miliki nyumba “126” japo wengine walihoji inakuwaje mtu ana miliki nyumba “126” ande kupanga kwenye nyumba ambayo anaweza kuinunua tena haiwezi kuzidi 1billion”

Wengine walihoji kwanini asiuze nyumba hata 30 halafu aongeze pesa anunue hiyo nyumba anayo ishi sasa ambayo amepanga?

Lakini kibaya zaidi ni kitendo cha tajiri Diamond kushindwa kurudi na private jet yake aliyo inunua hivi karibuni?

Watu wanajiuliza inakuwaje amerudi bila private jet? Nani amemuhujumu?

Nani amezuia kutua kwa hiyo ndege hapa nchini?


Wasalaam
Ndege ishafika
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom