RIP Mwalimu! kwani ulitengeneza njia! kuweza kuongoza harakati za kudai uhuru tayari alikuwa anatafuta njia, pale alipotuacha tulipaswa kuwa mbali! Lakini huyo nyang'au anapoteza njia kabisa!! yaani siamini kama alikaa kiti kimoja na Mwl. hata huruma na nchi hii hana! nchi hii sasa iko tu kama inaongozwa na mizimu! haina direction! Mungu atusaidie na tunene mema kwa ajili ya nchi yetu! lakini naamini iko siku nchi itakaa katika mstari tu esp thru M4C and finally CHADEMA wakichukua nchi............. kwani CCM(watu na sys zake) ni uozo mtupu!!!
Huyu wa sasa aliulizwa. Watanzania watakukumbuka kwa lipi ulilo wafanyia? Alijibu watanikumbuka kwa kuwatoa hapa na kuwa peleka pale. Haya ndiyo majibu ya kiongozi wetu wa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.