Afrika hata useme ukae madarakani mpaka ufie hapo ni sawa tu hakuna atakayekuzuia. Kwasasa wananchi wanaona kama CCM ya Pombe imeingia madarakani 2015 na huwaambii kitu wananchi.Nasisi chama kimoja kimetutawala zaidi ya miaka 50 maendeleo yako je? Naona kama ni dictetor ule ule
Shoga kweli huyoAfrica Ndiyo Changamoto Zetu
Yaani Kaenda Kununua Mtaa France Badala Ya Nchini Kwake
Ameshindwa kuifanya nchi ndogo ivyo kuwa kama singaporeMhh shusha nondo yaani mafuta harafu nchi ndogo umasikini juu?
nchi yote ni yake atanunua nn tena ?Africa Ndiyo Changamoto Zetu
Yaani Kaenda Kununua Mtaa France Badala Ya Nchini Kwake
ni kweli google tunafanya kazi iwe nyepesi kuliko wepesi karibu google helper hapa.mkuu you can google that county pls, kwa swahili unaweza kugoogle hio taifa na ukajisomea weyewe, sasa si katika miaka ya 60s na 70s , google imefanya kazi iwe rahisi mkuu
hivyo vibinti hivyoooo wapi picha ?Nilifika kisiwani Bioko ambapo ndipo ulipo mji mkuu wa Equatorial Guinea unaoitwa Malabo mwaka 2017.
Kiujumla nchi yenyewe ni ndogo kieneo na ina wakazi wachache sana. Maana wakati huo kulikuwa na raia kama Milioni moja na laki tatu.
Siasa zao ni za chama kimoja huku ukoo wa Nguema ukiwa ndio umeshika hatamu. Kuna makabila mengi ila kabila la Nguema ambaye ndiyo rais lina karibia asilimia 90 ya raia wote hivyo wana ushawishi mkubwa wa kuamua maamuzi ya nani awe au aendelee kuwa rais.
Rais na makamu wake wa rais ni wanafamilia lakini pia mawaziri wengi ni kutoka katika familia moja.
Hali ya uchumi ni mbaya licha ya nchi hii kuongoza katika kupata mapato kutokana na biashara ya mafuta.
Wananchi wana hali za kawaida tofauti na familia za viongozi.
Ila kuna vibinti vyeusi virembo vya kutosha hapo Malabo.
Hawa raia wa nchi hii ni wapole hatari.
hivyo vibinti hivyoooo wapi picha ?
[/QUOTE/
Kwani jiwe kafanya kipi kibaya mpaka sasa, kwani kanunua mtaa nchi za ulaya!!? au kashaenda ulaya au amerika kula bata, uyu ndo kiongozi tuliyemuomba Mungu kipindi chote kile cha malalamiko km wana waisrael wakiwa utumwani misri, muacheni Jiwe lipige kazi, I'm so proud for you uncle. God bless youBig no! Miaka kumi inatosha
Hata mie naamini kuwa Baada ya Nyerere ni Magufuli. Anaisaidia nchi hii ila Kiongozi yeyote akifikisha miaka 10 anafaa kuondoka na kuruhusu mwingine. Kitu anachotakiwa kukifanya kipindi chake cha pili ni kuhakikisha anaacha katiba ambayo watakaoitengeneza wasigombee uongozi kwa miaka 20.Kwani jiwe kafanya kipi kibaya mpaka sasa, kwani kanunua mtaa nchi za ulaya!!? au kashaenda ulaya au amerika kula bata, uyu ndo kiongozi tuliyemuomba Mungu kipindi chote kile cha malalamiko km wana waisrael wakiwa utumwani misri, muacheni Jiwe lipige kazi, I'm so proud for you uncle. God bless you
Usimfananishe Nyerere na mambo ya kijinga!!Hata mie naamini kuwa Baada ya Nyerere ni Magufuli. Anaisaidia nchi hii ila Kiongozi yeyote akifikisha miaka 10 anafaa kuondoka na kuruhusu mwingine. Kitu anachotakiwa kukifanya kipindi chake cha pili ni kuhakikisha anaacha katiba ambayo watakaoitengeneza wasigombee uongozi kwa miaka 20.
Wewe ndiye mjingaUsimfananishe Nyerere na mambo ya kijinga!!
Nchini kwake hakuna bata za kutosha kama mbeleAfrica Ndiyo Changamoto Zetu
Yaani Kaenda Kununua Mtaa France Badala Ya Nchini Kwake
Nchi ikashaongozwa na familia moja tena kikabila ndo basi tenaNilifika kisiwani Bioko ambapo ndipo ulipo mji mkuu wa Equatorial Guinea unaoitwa Malabo mwaka 2017.
Kiujumla nchi yenyewe ni ndogo kieneo na ina wakazi wachache sana. Maana wakati huo kulikuwa na raia kama Milioni moja na laki tatu.
Siasa zao ni za chama kimoja huku ukoo wa Nguema ukiwa ndio umeshika hatamu. Kuna makabila mengi ila kabila la Nguema ambaye ndiyo rais lina karibia asilimia 90 ya raia wote hivyo wana ushawishi mkubwa wa kuamua maamuzi ya nani awe au aendelee kuwa rais.
Rais na makamu wake wa rais ni wanafamilia lakini pia mawaziri wengi ni kutoka katika familia moja.
Hali ya uchumi ni mbaya licha ya nchi hii kuongoza katika kupata mapato kutokana na biashara ya mafuta.
Wananchi wana hali za kawaida tofauti na familia za viongozi.
Ila kuna vibinti vyeusi virembo vya kutosha hapo Malabo.
Hawa raia wa nchi hii ni wapole hatari.
Na wao wako uchumi wa kati kama sisiHabari wadau,nimesoma sehemu kua nchi hiyo rais wao amekaa miaka 40 je katiba yao ikoje na maendeleo ya nchi hio yakoje? Mwenye kufahamu nchi hiyo nisaidie siifahamu vizuri karibuni.