Nani aliyewaroga wabunge wa CCM kama huyu mheshimiwa?

Kalumbesa

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,013
356
Spika: Sasa ni zamu ya mheshimiwa Udhaifu Sitaki

Udhaifu Sitaki: Asante Spika kwa kuniona

Kwanza nianze kwa kusema naunga mkono hoja hii ya bajeti kwa asilimia 500

1.Sikubaliani na kuongeza kodi katika vinywaji(soda na pombe) na sigara. kodi hizi zipunguzwe serikali
haiwezi kutegemea vyanzo hivi ya mapato,badala yake tutazame vyanzo vingine vya mapato

2.Pili,sikubaliani na suala la sehemu kubwa ya bajeti yetu kwenda kwenye matumizi badala ya miradi ya maendeleo
Mheshimiwa spika,asilimia 30 iliyotengwa kwa miradi ya maendeleo ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi katika
nyanja mbalimbali.Tupunguze matumizi,katika gharama za uendeshaji wa serikali

Mengi yameongelewa hapa ila mimi nimeona nichangie katika haya mawili ambayo nadhani tunahitaji kuyafanyia marekebisho, nimalizie tena kwa kusema Naunga mkono hoja asilimia 500! Asante


Mimi: Hivi staili kama hizi za kuunga mkono hoja hazimaanishi huenda kuna nguvu za kurogwa hapa ?
 
HAhahahaah hao ndo CCM kuna mbunge mmoja jana wa Kigoma alianza kwa kuunga mkono budget kwa 200% akaanza kulia lia oooh Kigoma imesahaulika, akatoa takwimu za pesa kidogo za kiwanja cha ndege Kigoma, kulinganisha na Songwe, Arusha, KIA, Mwanza na malalamiko mengi sana na kuishia kusema hii budget haina tija wala maendeleo akamalizia na kibwagizo anaunga mkono kwa 200%

NB

Kama taifa nadhani tuna wajinga wengi sana bungeni na viongozi wetu wengi ni vilaza
 
Huwa wanaanza na asilimia mia, wanakwenda mpaka 10%. Kwa mtu mwenye akili timamu, ukiwa unaunga hoja asilimia mia, unatakiwa kwaachia wabunge wenzako wenye nyongeza au kasoro. Wewe unaeunga 100% unakaa kimya, hamna haja ya kuuza sura, kuongea hovyo tu. 100% maana yake huna nyongeza wala makosa. Wabunge wa CCM, wapelekwe kwa psychiatrist.
 
HAhahahaah hao ndo CCM kuna mbunge mmoja jana wa Kigoma alianza kwa kuunga mkono budget kwa 200% akaanza kulia lia oooh Kigoma imesahaulika, akatoa takwimu za pesa kidogo za kiwanja cha ndege Kigoma, kulinganisha na Songwe, Arusha, KIA, Mwanza na malalamiko mengi sana na kuishia kusema hii budget haina tija wala maendeleo akamalizia na kibwagizo anaunga mkono kwa 200%

NB

Kama taifa nadhani tuna wajinga wengi sana bungeni na viongozi wetu wengi ni vilaza

Wale wote wanaounga mkono hoja mia kwa mia, 200%, 500% lakini punde tu huanza kulalamikia mapungufu ya bajeti hiyo hiyo, wanastahili kusghughulikiwa/kusaidiwa kwa kufuata ushauri wa komba, na kwakuwa milembe haiko mbali na ukumbi wa bunge, ni vizuri spika wa bunge akafanya ze needful.
Mkuu Masanilo nakubaliana na wewe mia kwa mia kwamba taifa hili lina watu wengi ambao ni wajinga sana na wengi wao wako bungeni.
 
Mnyika pekee ndiye aliyegungua hilo, akaainisha vitu vitatu ambavyo ni Udhaifu wa Rais, Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM. lakini wale wanaojiona kuwa wana akili kubwa, kumbe hawaelewi wakamzuia asiwawafanulie maana yake. kwa alieleta uzi huu naona ni mwendelezo wa mchango wa mheshimiwa J. Mnyika.
 
Wale wote wanaounga mkono hoja mia kwa mia, 200%, 500% lakini punde tu huanza kulalamikia mapungufu ya bajeti hiyo hiyo, wanastahili kusghughulikiwa/kusaidiwa kwa kufuata ushauri wa komba, na kwakuwa milembe haiko mbali na ukumbi wa bunge, ni vizuri spika wa bunge akafanya ze needful.
Mkuu Masanilo nakubaliana na wewe mia kwa mia kwamba taifa hili lina watu wengi ambao ni wajinga sana na wengi wao wako bungeni.
It is a symptom of psychiatric case.
 
attachment.php
 
Lingine jana likakurupuka na kusema linaunga mkono kwa asilimia 300%.alafu linaanza kulia kwetu hakuna hiki mara kile.sasa ulipokuwa unasema unaunga mkono hoja ninini.nyie magamba acheni unafiki na kujipendekeza haita wasaidia.
 
HAhahahaah hao ndo CCM kuna mbunge mmoja jana wa Kigoma alianza kwa kuunga mkono budget kwa 200% akaanza kulia lia oooh Kigoma imesahaulika, akatoa takwimu za pesa kidogo za kiwanja cha ndege Kigoma, kulinganisha na Songwe, Arusha, KIA, Mwanza na malalamiko mengi sana na kuishia kusema hii budget haina tija wala maendeleo akamalizia na kibwagizo anaunga mkono kwa 200%

NB

Kama taifa nadhani tuna wajinga wengi sana bungeni na viongozi wetu wengi ni vilaza
Kwanini wasishukuru mr dhaifu katoa waziri mmoja kutoka gombe huoni Hilo ni la kujivunia?
 
Nimependa speech yako.
Hoja yangu ivi serikali inategemea mapato kutoka kwa pombe ivi itakuje kama watu watagoma kunywa pombe?
 
hio ni laana ya waislamu 2005 kwenye ilani ya jk na ccm yake waliahidi mahakama ya kadhi ilipo fika 2010 haikuwepo tena
 
Nimependa speech yako.
Hoja yangu ivi serikali inategemea mapato kutoka kwa pombe ivi itakuje kama watu watagoma kunywa pombe?

si ndio deni litafika trilioni 50 fasta! maana jamaa hawaoni hata aibu katika kukopa
 
Satan incarnate. Maana yake shetani anashuka duniani na kuchukua mwili wa mtu. Hakika wengi wa hawa jamaa pale mjengoni ni mashetani yaliyochukua mwili!!!!!!!!!!!!
 
Spika: Sasa ni zamu ya mheshimiwa Udhaifu Sitaki

Udhaifu Sitaki: Asante Spika kwa kuniona

Kwanza nianze kwa kusema naunga mkono hoja hii ya bajeti kwa asilimia 500

1.Sikubaliani na kuongeza kodi katika vinywaji(soda na pombe) na sigara. kodi hizi zipunguzwe serikali
haiwezi kutegemea vyanzo hivi ya mapato,badala yake tutazame vyanzo vingine vya mapato

2.Pili,sikubaliani na suala la sehemu kubwa ya bajeti yetu kwenda kwenye matumizi badala ya miradi ya maendeleo
Mheshimiwa spika,asilimia 30 iliyotengwa kwa miradi ya maendeleo ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi katika
nyanja mbalimbali.Tupunguze matumizi,katika gharama za uendeshaji wa serikali

Mengi yameongelewa hapa ila mimi nimeona nichangie katika haya mawili ambayo nadhani tunahitaji kuyafanyia marekebisho, nimalizie tena kwa kusema Naunga mkono hoja asilimia 500! Asante


Mimi: Hivi staili kama hizi za kuunga mkono hoja hazimaanishi huenda kuna nguvu za kurogwa hapa ?

Mkuu, hili ni tatizo la kikatiba mkuu,ndo maana walikuwa hawataki iandikwe upya waendelee na huu uozo daima.
 
Haya Fumbeni Macho tuwaombee
Baba waguse wabunge hawa, waguse baba, kila mtu aanze kukemea, kemeaa
pepo wa udhaifu toka, pepo wa ujinga toka, pepo wa rushwa toka,pepo wa kushangilia mambo ya kijinga toka, nasema waachie wabunge wa ccm, waachilie, muachilie speaker, toka Pepo. Endelea kukemea, endelea

wahudumu wasaidieni hao wanaoanguka mapepo ndio yanatoka sasa, pepo wachafu toka, pepo wa posho toka,Pepo wa uongo muachilie Mheshimiwa Pinda, Muachilieeee, navunja nguvu zote za kiccm, endeleeni kukemea jameni

Asante baba Asante baba
 
Leo nimegundua ni kwanini Ngeleja hakufaa kuwa Waziri. Amelipotezea muda bunge kwa ubishi usio na tija yeyote. Huyu ni mtoro wa vikao vya Bunge. Badala ya kuwakilisha wananchi anakua ktk pombe,nyamachoma na wanawake,akikurupuka . Aibu zaidi akishangiliwa na mmoja wa wenyeviti wa bunge, Jenista Mhagama!
 
Back
Top Bottom