Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Spika: Sasa ni zamu ya mheshimiwa Udhaifu Sitaki
Udhaifu Sitaki: Asante Spika kwa kuniona
Kwanza nianze kwa kusema naunga mkono hoja hii ya bajeti kwa asilimia 500
1.Sikubaliani na kuongeza kodi katika vinywaji(soda na pombe) na sigara. kodi hizi zipunguzwe serikali
haiwezi kutegemea vyanzo hivi ya mapato,badala yake tutazame vyanzo vingine vya mapato
2.Pili,sikubaliani na suala la sehemu kubwa ya bajeti yetu kwenda kwenye matumizi badala ya miradi ya maendeleo
Mheshimiwa spika,asilimia 30 iliyotengwa kwa miradi ya maendeleo ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi katika
nyanja mbalimbali.Tupunguze matumizi,katika gharama za uendeshaji wa serikali
Mengi yameongelewa hapa ila mimi nimeona nichangie katika haya mawili ambayo nadhani tunahitaji kuyafanyia marekebisho, nimalizie tena kwa kusema Naunga mkono hoja asilimia 500! Asante
Mimi: Hivi staili kama hizi za kuunga mkono hoja hazimaanishi huenda kuna nguvu za kurogwa hapa ?
Udhaifu Sitaki: Asante Spika kwa kuniona
Kwanza nianze kwa kusema naunga mkono hoja hii ya bajeti kwa asilimia 500
1.Sikubaliani na kuongeza kodi katika vinywaji(soda na pombe) na sigara. kodi hizi zipunguzwe serikali
haiwezi kutegemea vyanzo hivi ya mapato,badala yake tutazame vyanzo vingine vya mapato
2.Pili,sikubaliani na suala la sehemu kubwa ya bajeti yetu kwenda kwenye matumizi badala ya miradi ya maendeleo
Mheshimiwa spika,asilimia 30 iliyotengwa kwa miradi ya maendeleo ni ndogo sana ukilinganisha na mahitaji ya wananchi katika
nyanja mbalimbali.Tupunguze matumizi,katika gharama za uendeshaji wa serikali
Mengi yameongelewa hapa ila mimi nimeona nichangie katika haya mawili ambayo nadhani tunahitaji kuyafanyia marekebisho, nimalizie tena kwa kusema Naunga mkono hoja asilimia 500! Asante
Mimi: Hivi staili kama hizi za kuunga mkono hoja hazimaanishi huenda kuna nguvu za kurogwa hapa ?