Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,025
Hahahaha Necktie, huwa nabeba na kiwi na brush kabisaumesahau na ile tai nyeusi unayovaaga 😂😂😂
Hahahaha Necktie, huwa nabeba na kiwi na brush kabisaumesahau na ile tai nyeusi unayovaaga 😂😂😂
Mnhuuu hapo kwenye sadakaKinachonikera ni uwongo wanaotumia mwingi(Mwingine mara hoo nimeacha kazi flani nimeamua kumtumikia Mungu Wakati hakuna lolote. Siku moja nilimfuma mmoja nlosoma nae akalamba F zote form Iv na namfaham fika namkuta kwenye gari anahubiri alishawahi kuwa meneja wa benk eti sauti ya bwana ikamwambia aokoke.
ALAFU WANAJAZA WATU HOFU SANA.
Anaaza taja taja ajali zilizowahi toke kiasi kwamba kama huna imani yakutosha unaeza ona ndo unaenda kufa. Sababu ya kujaza hofu watu ni ili ukifia muda wa kutaka sadaka utoe kubwa.
surabya yule mhubiri imenijia kumbe ni weweHahahaha Necktie, huwa nabeba na kiwi na brush kabisa
Mpumbavu huwa anabarikiwa?
Naam, Karibu sana kwa maombisurabya yule mhubiri imenijia kumbe ni wewe
Korosho,juisi,dawa za meno nk ni mahitaj ya muhimu. Kuhubiriwa sio kitu muhimu kiviiiiile. La sivyo pale Aljazeera wangejenga na kanisaAjabu Sana,mbona hamuwakandii wanaoingia kuuza Korosho na juisi?kwani uliwaambia una shida nazo?
VP kuhusu wale wanaouza bidhaa kutoka kampuni za uingereza Kama dawa za meno na fangas?
asante sanaNaam, Karibu sana kwa maombi