Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,594
- 217,983
Mhamasishaji Mkuu Mstaafu wa Taifa Stars Mh Makonda hajasikika akihamasisha lolote kwenye mechi ya Tunisia na Stars, kulikoni? Ni nani alimvua uhamasishaji huu na ni lini na Kwanini?
Mwanamichezo Makonda pia alikuwa Mshauri Mkuu wa MO kwenye masuala ya Simba, je bado cheo hiki anaendelea nacho?
Mwanamichezo Makonda pia alikuwa Mshauri Mkuu wa MO kwenye masuala ya Simba, je bado cheo hiki anaendelea nacho?