Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Katika mjadala kama hii huwa siongei sanaaa, ndio kawaida yangu!Allah SW anasema sura 4:9
Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli wakhofia. Basi nao wamche Mwenyezi Mungu, na waseme maneno yaliyo sawa.
Ikiwa huyo Marehemu alikuwa ni mcha Mungu na msema ukweli, Allah ametoa uhakikisho wa maisha ya hiyo familia yake wakati yeye ameshatangulia.
Allahu Aalam
Anyway, tukumbuke tu mchuma janga hula na wakwao. Na pia dhulma haidumu.