Nani aliyemnyonga kamanda wa Polisi Zanzibar?

Allah SW anasema sura 4:9

Na wachelee wale ambao lau kuwa na wao wangeli acha nyuma yao watoto wanyonge wangeli wakhofia. Basi nao wamche Mwenyezi Mungu, na waseme maneno yaliyo sawa.

Ikiwa huyo Marehemu alikuwa ni mcha Mungu na msema ukweli, Allah ametoa uhakikisho wa maisha ya hiyo familia yake wakati yeye ameshatangulia.

Allahu Aalam
Katika mjadala kama hii huwa siongei sanaaa, ndio kawaida yangu!

Anyway, tukumbuke tu mchuma janga hula na wakwao. Na pia dhulma haidumu.
 
Taarifa hii ni ya kupuuzwa kwaa kiasi fulani.


Jamaa alijinyonga.hata familia inalijua hilo.

Kufungwa kamba ni jambo linasemekana tu ili kumtoa katika fedheha ya kujinyonga lakini ukweli hamna kamaba wala nini.

Mtu kama yule akamatwe afungwe kamba,akabwe alafu asipige kelele tu awe kimya tu..?

Kusema kwamba nyuma ya nyumba kulikuwa na hzo kama watu wanasisika wakikamata majani ni uongo tu wa kutaka kuwatoa watu kwenye reli kwamba jamaa alijinyonga.lakini inasemwa kwamba huwenda hicho kilichosikika ni ile purukubshani zake mwenyewe akijaribu kujinasua baada ya kujitundika na kupiga kelele ni ngumu hivyo lazima apapatike kwanza na hizo papara huwenda ndo walizosikia watu wakasema labda wavamizi

ALAMA za vidole zilizokutwa ni alama za vidole vyake mwenyewe ambayo alikuwa akijikamata kwa lengo la kujipapatua na kujitoa katika kitanzi baada ya kujitundika.

Ushahidi wote unaonesha kwamba alijinyonga,haiwezekani mtu kaama yule avamiwe alafu awe kimya tu uongo huo.

Sema wazanzibari kwa fitina siwawezi,wao kuitupia bara kila kitu sio ajabu sana.

sirro hakufika kwa sababu jamaa alijinyonga na kwamujibu wa jeshi mtu akijinyonga amedhalilisha jeshi na hastahiki kuzikwa kwa heshima.

Kwa chep chake jamaa sirro ilikuwa aje kabisa na timu maalum ya viongozi wa polisi wapige gwaride la heshima na timu hiyo iliandaliwa kabisa,lakini ilipothibitika kwamba kajinyonga mwenyewe kitu hicho kiliahirishwa moja kwa moja kutokana na kujinyonga kwakwe.

Viongozi waliokuja msibani walikuwa wao binafsi tu sio kiniaba ya kazi na chep cha marehemu,hyo ypte ni kutokana na kujinyonga kwake ni fedheha kwa jeshi na hata kidini pia aliyejinyonga ni kama kaua hvyo anakuwa kama kafanya uasi na anakosa baadhi ya stahiki zake.

Huwenda alirogwa mpaka ikapelekea kujinyonga,kama alirogwa basi dhambi ni za huyo aliyeroga.

Kama hakurogwa basi malipo yake yapo kwa Mola subhaana.
Dah!
 
Zinapatikana Iphinixxx zote kwa bei ya kupa kabisa
 

Attachments

  • IMG_0440.JPG
    IMG_0440.JPG
    72.6 KB · Views: 14
Mbona mkiambiwa alijiua mnapanick sana..haiwezekani au?

Jamaa alijiua.

Wewe una ushahidi gani kwamba ameuliwa?

Mimi nafahamu kwa mazingira ya kwake sio rahisi watu kumuua kimya kimya alafu wapande ukuta waondoke na yeyr asipige kelele kabisa.

Ukuta wa nyumba yake sio wa kuparamis kirahisi rahisi,na wala hakuna ushahidi wowote wa kuonesha kwamba ameuwawa.

Kama angrkuwa ameuwawa angechezewa paredi la heshima kwa mujibu wa cheo chakee.

Mkuu inaonekanwa unashindwa kufahamu hoja za watu kabisa. Wanaoushutumiwa kumuua ndio hao viongozi wake waliotuaminisha kama kajiua ili kuondoa utata wa kifo chake kwenye jamii. Sasa hilo Paredi atapigiwa vipi? na wao ndio wanataka tuamini kua amejiua?

Uhalisia unaendelea kubaki kua Kamanda Azizi alikua hakubaliki kwenye System ya CCM, na amekua akipingwa vita vya chinichini kwa miaka mingi sana tu na Wanasiasa wa CCM kwa ile hali yake ya kutokubali kupelekeshwa na CCM. Amekua akifanya kazi yake kama Askari Polisi na si Policcm kama walivo kina Sirro na Mussa Njino
 
Mkuu inaonekanwa unashindwa kufahamu hoja za watu kabisa. Wanaoushutumiwa kumuua ndio hao viongozi wake waliotuaminisha kama kajiua ili kuondoa utata wa kifo chake kwenye jamii. Sasa hilo Paredi atapigiwa vipi? na wao ndio wanataka tuamini kua amejiua?

Uhalisia unaendelea kubaki kua Kamanda Azizi alikua hakubaliki kwenye System ya CCM, na amekua akipingwa vita vya chinichini kwa miaka mingi sana tu na Wanasiasa wa CCM kwa ile hali yake ya kutokubali kupelekeshwa na CCM. Amekua akifanya kazi yake kama Askari Polisi na si Policcm kama walivo kina Sirro na Mussa Njino
Mkuu wewe ni mzanzibar na Gavana ni mzanzibar ambae ana uchungu na nchi yake. Huyo jamaa mnaebishana nae ni mamluki anaeishi Zanzibar na hajui lolote kuhusu Zanzibar.

Mimi nimempuuza muda sana maana nimemfuatilia nikamjua, na mbwa ukishamjua jina hakusumbui tena
 
Back
Top Bottom