safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,161
- 15,836
Kuna post nimeelezea.
Kuhusu kufungwa mikono nyuma ni propaganda tu za baadhi ya watu ionekane kulikuwa na mszingira ya kuuwawa,hakuna cha kufungwa mikono wala kitu gani.
Hakuzikwa kiheshima hasa ya kijeshi kwa sababu ya hzo sababu alijinyonga mwenyewe(huwenda nguvu za giza)kipolisi anaejinyonga hapewi heshima kabisa.
Kikosi kiliandaliwa na kamanda sirro ilikuwa aje,baada ya yafiti za uhakika kujua ameshajinyonga basi kila kitu kiliahirishwa na sirro hakufika.
Vidole vilivyokutwa kwenye koo lake ni vidole vyake mwenyewe marehemu ni kwa sababu alikuwa akijaribu kujipapayua ili ajitoe kwenye kitanzi na zile nguvu ambazo mtu anakuwa nazo wakati wa kukata roho huwenda alijijeruhi kabisa maeneo ya shingo na watu wakadhani amepigwa kabali.
Lakini alijinyonga mwenyewe.haiwezekani mtu kama yule avamiwe kwao alafu asipige kelele zozote zile.
Kuhusu kufungwa mikono nyuma ni propaganda tu za baadhi ya watu ionekane kulikuwa na mszingira ya kuuwawa,hakuna cha kufungwa mikono wala kitu gani.
Hakuzikwa kiheshima hasa ya kijeshi kwa sababu ya hzo sababu alijinyonga mwenyewe(huwenda nguvu za giza)kipolisi anaejinyonga hapewi heshima kabisa.
Kikosi kiliandaliwa na kamanda sirro ilikuwa aje,baada ya yafiti za uhakika kujua ameshajinyonga basi kila kitu kiliahirishwa na sirro hakufika.
Vidole vilivyokutwa kwenye koo lake ni vidole vyake mwenyewe marehemu ni kwa sababu alikuwa akijaribu kujipapayua ili ajitoe kwenye kitanzi na zile nguvu ambazo mtu anakuwa nazo wakati wa kukata roho huwenda alijijeruhi kabisa maeneo ya shingo na watu wakadhani amepigwa kabali.
Lakini alijinyonga mwenyewe.haiwezekani mtu kama yule avamiwe kwao alafu asipige kelele zozote zile.
Anaejinyonga anajifunga mikono nyuma?
Au hujasoma andiko lote na umekurupuka tu?