Nani aliyemnyonga kamanda wa Polisi Zanzibar?

Tunashukuru kwa kutujuza kuwa marehemu alikuwa Pro uamsho. Hayo ndiyo malipo yake.

Kama umebuni taarifa hii basi haufai ktk jamii ya wastaarabu sbb wewe ni mchonganishi. Na ndio maana taarifa yako imejaa hearsay informations which is inadmissible before the law.
Ila la kufungwa mikono nyuma lilithibitishwa? Hapo ndio tuanzie. Hivi askari cheo cha juu anakufa na kimyaaaaaa!!!!
 
Kwanza POLENI SANA umeanza vizuri na kibinadamu ni jambo la kusikitisha sana. Lakini baada ya kuanza vizuri ukaanza kueleza kipuuzi sana kama sio undezi.
Umeleta hoja za uzanzibari badala ya kulaani jambo hilo kama sisi watanzania
2. Udini usiuruhusu wabaya hawana dini ni ujinga kutaja dini kama kigezo cha tukio
3. Vyeo kwa utanganyika na uzanzibar sio hoja maana umekiri kuwa aliitwa na kupandishwa cheo na mtanganyika iweje tena liwe jambo la kubeza juhudi za waliopandisha cheo? Tuache tusikitike na kulaani tukio kama watanzania na jambo hili LINATUCHUKIZA SANA lakini usitumie msiba kuleta hisia zako za ovyo hizo kaa nazo mwenyewe

Naipenda nchi yangu Bara na visiwani. Sipendi uonezi
 
sasa hapo Siro hakufika kwa sababu ya muda, halafu kama hao uamsho walikamatwa akiwa na cheo mbona hakuwasaidia??
 
Kwa kuangalia unadishi mleta mada yaashiria ni muislamu ila cha ajabu ameweks picha ys beyond the cross hahahaha
 
Huyu kamanda hakuwa na mlinzi?

Hili swali najiuliza sana, maana kwa nafasi yake alistahili kulindwa.

Tumuachie mungu
 
Kwa cheo kikubwa kama alichofikia marehemu inamaana nyumbani kwake analindwa na askari mwenye siraha ya moto....je huyo askari alikua wapi...?

Kama ni swala la udini unavyolalamika kuwa watanganyika hawawapendi waislam, je mbona PM na VP ni waislam pia, Rais wa zanzibar na baraza la mapinduzi ni muslims wote....hopefully mnajua dokta wa nuclear alivyopandikiza udini kwenye taasisi za kiserikali...?

Je bwana Azziz nyumba yake haina CCTV kabisaaa licha ya kuwa alishashika nafasi ya juu kabisa ya jeshi la polisi zanzibar...?
 
Ila la kufungwa mikono nyuma lilithibitishwa? Hapo ndio tuanzie. Hivi askari cheo cha juu anakufa na kimyaaaaaa!!!!
Mimi sikuwepo ila sidhani kama alifungwa mikono na familia ikashuhudia hilo. Halafu taarifa iseme kajinyonga lazima wangetoka hadharani kupingana na taarifa hiyo.

Mleta post hapa ni mpuuzi hajui madhara ya taarifa zisizothibitishwa huleta mvurugano kwenye jamii. Ni mpuuzi kabisa.
 
Awe uamsho au la, ni sheria gani unayoihusisha ambayo itakubaliana na yaliyomtokea marehemu? Kwamba kwa kuwa uamsho anastahili yaliyompata?
Hukumu ya muuaji huwa ni nini? Msipende kujipa haki ya kuchukua nafsi za wenzenu kwa vivuli vya harakati za kipuuzi. Huku nafsi zenu mkizipa exclusive right to life.

Soma post yangu kwa makini utapata ujumbe wangu. Kama alishiriki mauaji ya siri na yeye kama yamemfika ya aina hiyo hiyo sioni cha kulalamikia hapo.

Mshauri mleta post asirudie tena kutushirikisha UPUMBAVU WAKE.
 
Mimi sikuwepo ila sidhani kama alifungwa mikono na familia ikashuhudia hilo. Halafu taarifa iseme kajinyonga lazima wangetoka hadharani kupingana na taarifa hiyo.

Mleta post hapa ni mpuuzi hajui madhara ya taarifa zisizothibitishwa huleta mvurugano kwenye jamii. Ni mpuuzi kabisa.
Ahsante argument zako zina mashiko sana mie niko bara ndio maana , na wala hatujasikia kauli ya familia kuwa alifungwa kamba!! Sirooo nyakoro!!!!!!!!!! tata COME OUT clean toa taarifa maaana naona upotoshwaji hapa tweke sawa !!
 
Mimi sikuwepo ila sidhani kama alifungwa mikono na familia ikashuhudia hilo. Halafu taarifa iseme kajinyonga lazima wangetoka hadharani kupingana na taarifa hiyo.

Mleta post hapa ni mpuuzi hajui madhara ya taarifa zisizothibitishwa huleta mvurugano kwenye jamii. Ni mpuuzi kabisa.

Hivi Mo alitoka ametoka hadharani kueleza yaliomkuta baada ya kutekwa na ametekwa na kini nani? Ni mgeni wa kuwafahamu TISSCCM inaonekanwa
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom