Yaani siku hizi imekuwa too much sasa
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.
Nimem-block sipendi ujinga
Hivi ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na Soudan?
Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa na-chat naye yaani yeye kila picha yake akiweka status yaani ni Mzungu tu
Sasa leo katika mizunguko yangu nimekutana naye live. Eee bwana ni mweusi tena ana chunusi.
Nimem-block sipendi ujinga
Hivi ninyi wanawake wetu kwanini msijikubali na weusi wenu uo kama wanawake wa Burundi na Soudan?