utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 214
- 7
Kama kuna watu amboa wameshindwa kujiendeleza kama jumuia ni Watanzania!,Pamoja na rasilimali nyingi bado nchi yetu na maskini ,mijadala mingi inayoendelea hapa nchini ni kujadili watu.Kila siku linaibuka jipya.Kama tungekuwa na angalau %50 ya ufahamu tusingekuwa hapa.Mimi sio mchumi (wachumi n) watanikosa nikipotoka!
Nitatolea mfano wa kilimo cha alizeti na matunda hapa nchini. Kwa wasio fahamu alizeti ni zao ambalo uzalishaji wake gharama yake ni ndogo sana !Katika maeneo mengi (ninayo ya jua )kama DODOMA,SINGIDA,MBULU ,KATESH AU KARATU huhitaji dawa kupata mazao bora ya alizeti.Ukilinganisha gharama za uzalishaji na bei,na mahitaji ya soko ,alizeti inaweza kuwakomboa wakuliam wengi wa Tanzania.Na iwapo serikali itapandisha kodi ya mafuta yanayotoka nje itaweza kuinu kilimo na na viwanda vya alizeti ,...itapanua ajira!
Njia rahisi ni kupandisha kodi ya mafuta ya nje ,na kuhamasisha watu athari ya ulaji wa mafuta yenye lehemu.Watalamu wa afya wamebainisha kuwa magonjwa yasiyoambukiza yameanza kuchukua nafasi kama kisababishi kiongozi cha vifo ,na sababu mojawapo ni ulaji mbovu ukiwemo wa mafuta hayo.
Tunashindwa nini kutumia sababu hii ya kiafya kujiongezea kipato na ajira!
Leo hii kijijni kwangi lt 20 za alizeti ni 50,000/=!ukileta mjini je
Kama vile haitoshi mashudu ya alizeti ni chakula bore acaha kuku na .........,what a multiple advantage
Kama tunaibiwa kwenye madini hata hili latushinda
Kuhusu matunda pita bara2ni Dar es Salaam hazina ya matunda yanavyooza kwenye nchi ya Wdanganyika wanaojadili siasa kila kukicha bila kuchukua hatua!
Nitatolea mfano wa kilimo cha alizeti na matunda hapa nchini. Kwa wasio fahamu alizeti ni zao ambalo uzalishaji wake gharama yake ni ndogo sana !Katika maeneo mengi (ninayo ya jua )kama DODOMA,SINGIDA,MBULU ,KATESH AU KARATU huhitaji dawa kupata mazao bora ya alizeti.Ukilinganisha gharama za uzalishaji na bei,na mahitaji ya soko ,alizeti inaweza kuwakomboa wakuliam wengi wa Tanzania.Na iwapo serikali itapandisha kodi ya mafuta yanayotoka nje itaweza kuinu kilimo na na viwanda vya alizeti ,...itapanua ajira!
Njia rahisi ni kupandisha kodi ya mafuta ya nje ,na kuhamasisha watu athari ya ulaji wa mafuta yenye lehemu.Watalamu wa afya wamebainisha kuwa magonjwa yasiyoambukiza yameanza kuchukua nafasi kama kisababishi kiongozi cha vifo ,na sababu mojawapo ni ulaji mbovu ukiwemo wa mafuta hayo.
Tunashindwa nini kutumia sababu hii ya kiafya kujiongezea kipato na ajira!
Leo hii kijijni kwangi lt 20 za alizeti ni 50,000/=!ukileta mjini je
Kama vile haitoshi mashudu ya alizeti ni chakula bore acaha kuku na .........,what a multiple advantage
Kama tunaibiwa kwenye madini hata hili latushinda
Kuhusu matunda pita bara2ni Dar es Salaam hazina ya matunda yanavyooza kwenye nchi ya Wdanganyika wanaojadili siasa kila kukicha bila kuchukua hatua!