Utamu wa kampeni za mwaka huu mawe yanarushwa upande mmoja tu tofauti na 2015. Mfano leo kalipua liinternational airpot la chotola. Tofauti na 2015, EL alitupa kigugumizi lilipokuja suala la ufisadi. Lakini 2020 TL ni very smart, very clean! Hizi sera sijui comedy za maendeleo hayana chama hata taa za barabarani zinawamulikia hadi panya, tuzaliane kwa kuwa matiti tunayo sio bure ni kukosa hoja wameshikwa pabaya.
Jana kwenye kipindi kimoja Star TV kuna kada wa CCM alikwenda na fomu ya madai ya kuvunjiwa nyumba yake na serikali ya CCM eti uthibitisho wa TL ni mwizi hawezi kuwa rais!! Akaulizwa mbona hii ni fomu ya madai yako ya kubombolewa nyumba na ubomoaji uliotekelezwa na serikali ya CCM alitumbua macho kama limjusi lilibanwa kwenye mlango.!!
Tunataka, Uhuru, Haki na Maendeleo. Huwezi wabomolewa wananchi nyumba bila kuwalipa eti maendeleo barabara ya lami, hii barabara kwa manufaa ya nani?
Jana kwenye kipindi kimoja Star TV kuna kada wa CCM alikwenda na fomu ya madai ya kuvunjiwa nyumba yake na serikali ya CCM eti uthibitisho wa TL ni mwizi hawezi kuwa rais!! Akaulizwa mbona hii ni fomu ya madai yako ya kubombolewa nyumba na ubomoaji uliotekelezwa na serikali ya CCM alitumbua macho kama limjusi lilibanwa kwenye mlango.!!
Tunataka, Uhuru, Haki na Maendeleo. Huwezi wabomolewa wananchi nyumba bila kuwalipa eti maendeleo barabara ya lami, hii barabara kwa manufaa ya nani?